Hawa jamaa wanaongoza kwa mahusiano

Hawa jamaa wanaongoza kwa mahusiano

Wanajiita Loan Officer usiombee umwache demu wako aende kuomba mkopo wa gari peke yake lazima jamaa akague kwanza

Mmmmh si ndo anapata mkopo haraka au!!
 
Jamani huu kweli ni udhalilishaji wa wanawake. yaani ni wapenda vya bure. Hayaaa...
 
Na marubani kwa ma air hostess,si unajua kuna mambo ya flight za dar _ nairobi overnight stay Hilton nairobi na kadhalika!
 
he, sasa kabaki nani mbona wote wamo?


Si mafundi cherehani ndiyo wenyewe hawana ubaya na wateja wao hawa na hata ma bank teller huwa kila anayekuja counter anamkataa na kumbia kua yeye hapo ameshika kwa muda tu yeye anakuwa meneja mikopo siku chache zijazo
 
Katika purukushani zangu mitaani nimekumbana na hawa jamaa.
Wanaongoza sana kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana/wanawake;-

Vinyozi hawa wanawanasa sana mabinti kwa mapowder na kuchonga nywele

Madreva tax hawa wanawanasa sana wake za watu nipeleke sehemu flani jamaa anaimba huko huko

Wasagisha mashine hawa nao balaa mahouse girl hapa huwa hawachomoki hata wake za watu

Konta wa daladala hawa nao dah mambo ya staff kwa mabinti ni balaa

Madereva wa malori hawa jamaa kila kituo atakapo funga break amewekeza

Wauza chipsi dahh hawa jamaa kwa gear ya zege na kidali wanamega sana

Wauza genge jamani jamani usiombee awe mpemba atamega mtaa mzima

vipi hao waendesha magari yenye namba za STK? hawamo kwenye hilo kundi?
 
madaktari na madereva taxi.........ni too much......

hii ya moderators nahisi its true........
 
inaonesha jinsi waswahili tulivyo endekeza ngono.... na kutowathamini wanawake wetu...

wahindi na wengine ni tofauti kidogo
 
Back
Top Bottom