Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeua mazima
Microfinance oficers kwa ahadi za mikopo hao ni balaa
Wanajiita Loan Officer usiombee umwache demu wako aende kuomba mkopo wa gari peke yake lazima jamaa akague kwanza
Hahahaha si mchezo, mpiga mabiti mbele je?
he, sasa kabaki nani mbona wote wamo?
Katika purukushani zangu mitaani nimekumbana na hawa jamaa.
Wanaongoza sana kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana/wanawake;-
Vinyozi hawa wanawanasa sana mabinti kwa mapowder na kuchonga nywele
Madreva tax hawa wanawanasa sana wake za watu nipeleke sehemu flani jamaa anaimba huko huko
Wasagisha mashine hawa nao balaa mahouse girl hapa huwa hawachomoki hata wake za watu
Konta wa daladala hawa nao dah mambo ya staff kwa mabinti ni balaa
Madereva wa malori hawa jamaa kila kituo atakapo funga break amewekeza
Wauza chipsi dahh hawa jamaa kwa gear ya zege na kidali wanamega sana
Wauza genge jamani jamani usiombee awe mpemba atamega mtaa mzima