Hawa JATU bado hawajachukuliwa hatua?

Tengeneza Njia

Senior Member
Joined
Jul 29, 2022
Posts
121
Reaction score
205
Nimekutana na hili tangazo kwenye group moja la whatsup. Nadhani kwenye mkutano huu vyombo vya dola viwepo na wahusika wa kusaidia wananchi kuondokana na fikra potofu - kudanganya kilimo kinafanywa kwa njia ya simu na kuwekeza mahela bila kufanikiwa, wapewe haki zao!

Mauza uza kama haya 2023 yasiwepo!
 
Kilimo siyo sawa na kubet useme utatumua sinu, lazima usimamie mwenyewe. Kinyuma na hapo ni utapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…