geometry
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 466
- 358
Baada ya kutolewa tuzo ya mchezaji bora duniani
Leo nikiwa naperuzi document yenye matokeo ya kura zilizopigwa na macaptain wa timu za taifa kuna baadhi ya ma captain walinishangaza
ipo hivi
Hugo Lloris wa Ufaransa alimpigia kura-
Ronaldo,Sergio Ramos na Hary kane
Bufon wa italy- Ronaldo,Dyabala na Modric
Roben wa uholanzi - Ronaldo,Ramos na Marcelo
Hazard wa Ubelgiji-Ngolo kante,Ronaldo na Modric
Gunnarson wa Iceland-Ronaldo,Neymar,Modric
Stefan Lichisteiner wa uswisi-Ronaldo,Ramos,Buffon
Leo nikiwa naperuzi document yenye matokeo ya kura zilizopigwa na macaptain wa timu za taifa kuna baadhi ya ma captain walinishangaza
ipo hivi
Hugo Lloris wa Ufaransa alimpigia kura-
Ronaldo,Sergio Ramos na Hary kane
Bufon wa italy- Ronaldo,Dyabala na Modric
Roben wa uholanzi - Ronaldo,Ramos na Marcelo
Hazard wa Ubelgiji-Ngolo kante,Ronaldo na Modric
Gunnarson wa Iceland-Ronaldo,Neymar,Modric
Stefan Lichisteiner wa uswisi-Ronaldo,Ramos,Buffon