Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Wana bodi, heshima kwenu.
Kadri muda unavyozidi kwendaa ndio nazidi kuchanganyikiwa, sielewi.. moja haikai, mbili haikai.
Niko kwenye mahusiano na mabinti wawili kwa muda miaka 3+ sasa.. Mmoja ni mzuri sana, mrembo, presentable na udambwiudabwi wa kila aina kwenye masula ya mapenzi na mambo ya show off. Kwenye suala la maisha huyu binti ni chenga, sio mpambanaji kivile.. Ila moyo wangu umelala kwake, kidume sipui kabisa pale.
Huyu mwingi ni binti wa kawaida sana, ana heshima zake tuu.. Kwenye uzur ni kawaida sana, sio mtundu sana.. Kwenye show off yeye hayupo kabisa, akisuka yebo fasta mwendo mdundo.. akibana yeye poa tuu, akibana kwa nyuma na raba bendi kama Jumong fresh tuu hana shida. Ila huyu binti ni mpambanaji bana, ni shujaa.. Linapokuwa swala la maisha huyu binti nampa GPA ya 5.0 ila moyo haupo kwake.
Wote wawili wapo tayar kuolewa muda wowote, hata kesho asubuh.
Nashindwa kabisa kuamua hii issue, nani nimchukue kama mke, nani nimpige chinini maana ni zaidi ya mwaka sasa na nikitazama muda unazidi kukimbia. Kwa upande wangu mm nataman vyote kwa pamoja tena kwa 100%.
Msaada wa mawazo yenye fact tafadhali.
Kadri muda unavyozidi kwendaa ndio nazidi kuchanganyikiwa, sielewi.. moja haikai, mbili haikai.
Niko kwenye mahusiano na mabinti wawili kwa muda miaka 3+ sasa.. Mmoja ni mzuri sana, mrembo, presentable na udambwiudabwi wa kila aina kwenye masula ya mapenzi na mambo ya show off. Kwenye suala la maisha huyu binti ni chenga, sio mpambanaji kivile.. Ila moyo wangu umelala kwake, kidume sipui kabisa pale.
Huyu mwingi ni binti wa kawaida sana, ana heshima zake tuu.. Kwenye uzur ni kawaida sana, sio mtundu sana.. Kwenye show off yeye hayupo kabisa, akisuka yebo fasta mwendo mdundo.. akibana yeye poa tuu, akibana kwa nyuma na raba bendi kama Jumong fresh tuu hana shida. Ila huyu binti ni mpambanaji bana, ni shujaa.. Linapokuwa swala la maisha huyu binti nampa GPA ya 5.0 ila moyo haupo kwake.
Wote wawili wapo tayar kuolewa muda wowote, hata kesho asubuh.
Nashindwa kabisa kuamua hii issue, nani nimchukue kama mke, nani nimpige chinini maana ni zaidi ya mwaka sasa na nikitazama muda unazidi kukimbia. Kwa upande wangu mm nataman vyote kwa pamoja tena kwa 100%.
Msaada wa mawazo yenye fact tafadhali.