Hawa Manchester United watamuacha salama huyu Ole

Theb

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2019
Posts
3,927
Reaction score
7,276
Hivi msimu huu ukaisha tena Man Utd watoke kapa bila kikombe chochote watamuacha tu huyu Ole?

Maana wamefukuza Moyes, Van Gal, na Mourinho japo aliwapa kikombe hawakuwa na shukrani. Hivi gana toka awe kocha pale old traford kuna kikombe kaleta?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ole hafukuzwi sababu kazi alioajiriwa ndio aliofanya.

1. Ameondoa deadwoods zote na mishahara mikubwa, ukitoa DE gea waliobakia wote mishahara ni midogo na ina karibia kulingana,

2. Toka aje team ina perform vizuri, kwa Mara ya kwanza timu imeingia top 4 Mara 2 mfululizo msimu wa kwanza nafasi ya 3 na wa pili nafasi ya 2, realistic Goals msimu huu ni kuchallenge Ubingwa, hata kama hata chukua Epl angalau mpaka mwisho wa msimu timu iwe inagombania Ubingwa.

3. Usajili wake ni mzuri, wachezaji vijana ambao wa nataka kuchezea Man U na watu ambao hawaji kula mshahara bure na kubweteka.

4.amerudisha culture ya Timu, academy inapata nafasi, soka la Utd direct kushambulia, so far ushindi wa Goli 5 umekuwa kawaida, etc.

5. Timu imeanza kuwa na depth kila idara, mapengo yote yamezibwa, na sasa kikosi unakiona kimekamilika, hata kama Ole anaondoka Leo man utd, atakua ndio kocha mwenye mafanikio kwetu man utd kwa kuweka foundation ya mafanikio.
 
Daah Umejibu kizungu Chief..
 
Ila vikombe ni.sehemu kubwa ya mafanikio ya timu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio Platform alioweka ndio base ya vikombe, kila mwaka kuna standard anawekewa na Body aifikie, asipifikia kwa baadae hata yeye atafukuzwa. Ila kwa sasa ngumu kufukuzwa kwa alivyofanya.
Kumbe timu kubwa km.man u inayosajili wachezaji.wa garama kubwa nayo ina jiwekea malengo.ya kuishia top 4 tu.??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa kuu mkiweza mpitie na haka kaandiko[emoji1313]


Kupiga kura kasome hako kauzi [emoji1312] mwishon utaona option ya vote

Mfano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hao.wazungu hao hao ndio wanaotaka vikombe. Subiria muda ndio mwalimu mzuri msimu ukiisha kapa watamgawana sema wanamlelea kwa kuwa ni mantesa united mwenzao

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah.. Hata mimi natamani msimu huu Man United isitoke patupu.
Ila kwenye kila mafanikio kuna mipango ya muda mrefu, kati na mifupi.
So alichofanya OGS ni kukamilisha Mipango mama ya timu, suala la ubingwa inategemeana na fact nyingi ikiwemo ambazo hazitabiriki. So this time akikosa kikombe chochote, pressure inaweza kua kubwa akafurushwa.
 
Hapo kweli. Pressure itakayo panda itakua kubwa kwake sema watamuacha maana ndugu yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 

umechambua vizuri sana mkuu
 
1. Usajili haufanywi na Kocha hata siku moja.

2. Hata afanye nini kipimo chake kitakuwa makombe
 
1. Usajili haufanywi na Kocha hata siku moja.

2. Hata afanye nini kipimo chake kitakuwa makombe
Inategemea na club, ila usajili wa Karibuni anafanya ole mwenyewe. Anasema Target zake na watu wa negotiations wanamaliza.
 
Inategemea na club, ila usajili wa Karibuni anafanya ole mwenyewe. Anasema Target zake na watu wa negotiations wanamaliza.
Mkuu arsenal wenger alikua kocha mzuri ila alipoanza kukosa vikombe akaanza kuchukiwa mpaka akajiuzulu mwwnyewe. Furaha ya mchezi mwishon uuibuke na kikombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…