Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Hivi msimu huu ukaisha tena Man Utd watoke kapa bila kikombe chochote watamuacha tu huyu Ole?
Maana wamefukuza Moyes, Van Gal, na Mourinho japo aliwapa kikombe hawakuwa na shukrani. Hivi gana toka awe kocha pale old traford kuna kikombe kaleta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana wamefukuza Moyes, Van Gal, na Mourinho japo aliwapa kikombe hawakuwa na shukrani. Hivi gana toka awe kocha pale old traford kuna kikombe kaleta?
Sent using Jamii Forums mobile app