Hawa maproducer wote wapigaji

Machame Juu

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
1,514
Reaction score
3,363
Kwaanzia Majani, Said Commorien, De Opera, master jay. Wote wapigaji tuu. Wamelostisha wengi sana.

Master jay arudi tu uingereza kuchuma matunda.

Historia itaendelea kuwahukumu.
 
Master Jay sio mwenzako sasa hivi ana kampuni ya ujenzi inaitwa MM CONSTRUCTION na inafanya vizuri. Wanadeal na ramani, makadirio, ujenzi na usimamizi

Wewe kazana hapo hapo "historia itawahukumu" watu wanapiga pesa huko
 
Dah pole sana ukute wewe ni mmoja wa wasanii wakubwa wa zamani lkn huna hata kibito.
 
Mtoa mada bila Shaka atakuwa kashadhulumiwa na mmoja wa hao maproducer aliowataja sio bure.
 
Ukifuatilia vizuri industry ya bongo flevour, producer wachache walifaidika na kazi zao

wingi wa studio umefanya producer wakose kujiamini na kusimamia misingi ya biashara, which is bad

Wasanii wanawanyonya sana producers,
wasanii wanakopa sana na kuleta ushikaji kazini,

''Mr lg aliyetengeneza beat ya sukari ya zuchu, akulipwa kwa kigezo kwamba anatengenezewa jina''

Wanatumiwa na kupata fame ya mda mfupi then wanatelekezwa wakiwa hawana kitu,

Ni mda wa producer kubadilika na kuwa serious na kazi, lazima waige userious wa kazi kama kina master j, pfunk, herm b,
 
Dah inauma mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…