Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
⚠️😭 Socialite huyo wa Nigeria kwa jina la Benjamin(Killaboigram) ambaye ana miaka 26 amekiri na kujutia kumuua mpenzi wake huyo kwa jina la Austa ambaye pia ni socialite baada ya kutokea ugomvi baina yao
Alimuua katika nyumba aliyokuwa anaishi, ilijulikana baada ya familia ya mwanamke kumtafuta ndugu yao bila mafanikio na baadaye kukutwa ameuliwa huku ikidaiwa alikatwakatwa mwilini
Benjamin amejitosa mtandaoni kukikiri kufanya uhalifu huo na kusema anajuta sana kwa alichokifanya kwani na yeye ameshayaharibu maisha yake katika umri wa miaka 26 tu alionao
Killaboigram au Benjamin anamedai alikuwa kwenye mahusiano yasiyo sahihi yaliyojaa sumu na anatamani muda ungerudi nyuma akakajiepusha mapema na mahusiano husika japo Austa alikuwa mwanamke aliyempenda na yeye sio mtu mbaya licha ya kuua
Killaboigram amesema ameamua kukiri wazi alichofanya sababu tangu afanye mauaji ya mpenzi wake huyo yeye mwenyewe hana amani kabisa na pia yupo tayari apate hukumu anayostahi, yupo tayari kwa ajili ya kifo pia
Killaboigram amejiomba msamaha mwenyewe kwa kuharibu maisha yake katika umri mdogo, amemuomba msamaha mama yake na ndugu yake wa pekee ambaye ni wa kiume kwa alichofanya
Killaboigram na mpenzi wake wote kwa pamoja mitandaoni waliluwa wakiachia mapichapicha kuonesha wanaishi maisha mazuri ya kifahari
Lakini kabla ya mauaji aliyofanya, miaka miwili iliyopita Killaboi aliwahi kudakwa na na vyombo vya sheria Nigeria kwa kudaiwa kujihusisha na vitendo vya kitapeli
Alimuua katika nyumba aliyokuwa anaishi, ilijulikana baada ya familia ya mwanamke kumtafuta ndugu yao bila mafanikio na baadaye kukutwa ameuliwa huku ikidaiwa alikatwakatwa mwilini
Benjamin amejitosa mtandaoni kukikiri kufanya uhalifu huo na kusema anajuta sana kwa alichokifanya kwani na yeye ameshayaharibu maisha yake katika umri wa miaka 26 tu alionao
Killaboigram au Benjamin anamedai alikuwa kwenye mahusiano yasiyo sahihi yaliyojaa sumu na anatamani muda ungerudi nyuma akakajiepusha mapema na mahusiano husika japo Austa alikuwa mwanamke aliyempenda na yeye sio mtu mbaya licha ya kuua
Killaboigram amesema ameamua kukiri wazi alichofanya sababu tangu afanye mauaji ya mpenzi wake huyo yeye mwenyewe hana amani kabisa na pia yupo tayari apate hukumu anayostahi, yupo tayari kwa ajili ya kifo pia
Killaboigram amejiomba msamaha mwenyewe kwa kuharibu maisha yake katika umri mdogo, amemuomba msamaha mama yake na ndugu yake wa pekee ambaye ni wa kiume kwa alichofanya
Killaboigram na mpenzi wake wote kwa pamoja mitandaoni waliluwa wakiachia mapichapicha kuonesha wanaishi maisha mazuri ya kifahari
Lakini kabla ya mauaji aliyofanya, miaka miwili iliyopita Killaboi aliwahi kudakwa na na vyombo vya sheria Nigeria kwa kudaiwa kujihusisha na vitendo vya kitapeli