Hawa mbwa hawana urafiki na mtu wasiyemfahamu. Ulinzi Shirikishi niliwakatalia baada ya kuwa naibiwa home then wanataka niwachangie mwisho wa mwezi

Hawa mbwa hawana urafiki na mtu wasiyemfahamu. Ulinzi Shirikishi niliwakatalia baada ya kuwa naibiwa home then wanataka niwachangie mwisho wa mwezi

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Hawa mbwa nawapenda ni very strong. Imagije dume anafika kilo 80 asili yao ni South Africa. Kwa Makaburu huko Wanaitwa Boerboel.

Hawa jamaa hawana woga kabisa. Na miaka ya nyuma walikuwa wakitumika mpaka kupambana na leopards au mbwa mwitu.

Home ninao watatu na nlipata kutoka kwa rafiki yangu Kaburu kipindi cha nyuma kidogo. Aliondoka akaniachia urithi huu. Ubaya wake jike lake halipandwi na mbegu nyingine. Linatoa kipigo kikali cha kuua madume wengine.

Mpaka alipokuja nipatia dume lake.nmeshangaa kuona mtu pia anao hawa mbwa. Sikutegemea sana hasa kwa kuwa kuna baadhi ya nchi hawa Mbwa wamepigwa marufuku kabisa kufugwa. Na nchi nyingine unafuga kwa kibali maalum.

Mimi nawapenda na naishi na Mdogo wangu ambaye tunapokezana kuwaangalia kama mimi sipo yeye anaendelea nao. Nikiwepo hivyo hivyo ili mradi wasibaki na njaa.

Chakula nina jamaa zangu wana bucha nawachukulia yale manyama nyama ambayo hayana issue wananiuzia kwa bei ya kirafiki.

Usiku nikiwafungulia hawa nalala bila shaka kabisa. Bahati nzuri kwa mafunzo yao hawali chakula cha kutupwa chini hata iweje.

 
Hawa mbwa nawapenda ni very strong. Imagije dume anafika kilo 80 asili yao ni South Africa. Kwa Makaburu huko Wanaitwa Boerboel.

Hawa jamaa hawana woga kabisa. Na miaka ya nyuma walikuwa wakitumika mpaka kupambana na leopards au mbwa mwitu.

Home ninao watatu na nlipata kutoka kwa rafiki yangu Kaburu kipindi cha nyuma kidogo. Aliondoka akaniachia urithi huu. Ubaya wake jike lake halipandwi na mbegu nyingine. Linatoa kipigo kikali cha kuua madume wengine.

Mpaka alipokuja nipatia dume lake.nmeshangaa kuona mtu pia anao hawa mbwa. Sikutegemea sana hasa kwa kuwa kuna baadhi ya nchi hawa Mbwa wamepigwa marufuku kabisa kufugwa. Na nchi nyingine unafuga kwa kibali maalum.

Mimi nawapenda na naishi na Mdogo wangu ambaye tunapokezana kuwaangalia kama mimi sipo yeye anaendelea nao. Nikiwepo hivyo hivyo ili mradi wasibaki na njaa.

Chakula nina jamaa zangu wana bucha nawachukulia yale manyama nyama ambayo hayana issue wananiuzia kwa bei ya kirafiki.

Usiku nikiwafungulia hawa nalala bila shaka kabisa. Bahati nzuri kwa mafunzo yao hawali chakula cha kutupwa chini hata iweje.

View attachment 1694958
Picha kwanguu haifungukiiii
 
Hawa mbwa nawapenda ni very strong. Imagije dume anafika kilo 80 asili yao ni South Africa. Kwa Makaburu huko Wanaitwa Boerboel.

Hawa jamaa hawana woga kabisa. Na miaka ya nyuma walikuwa wakitumika mpaka kupambana na leopards au mbwa mwitu.

Home ninao watatu na nlipata kutoka kwa rafiki yangu Kaburu kipindi cha nyuma kidogo. Aliondoka akaniachia urithi huu. Ubaya wake jike lake halipandwi na mbegu nyingine. Linatoa kipigo kikali cha kuua madume wengine.

Mpaka alipokuja nipatia dume lake.nmeshangaa kuona mtu pia anao hawa mbwa. Sikutegemea sana hasa kwa kuwa kuna baadhi ya nchi hawa Mbwa wamepigwa marufuku kabisa kufugwa. Na nchi nyingine unafuga kwa kibali maalum.

Mimi nawapenda na naishi na Mdogo wangu ambaye tunapokezana kuwaangalia kama mimi sipo yeye anaendelea nao. Nikiwepo hivyo hivyo ili mradi wasibaki na njaa.

Chakula nina jamaa zangu wana bucha nawachukulia yale manyama nyama ambayo hayana issue wananiuzia kwa bei ya kirafiki.

Usiku nikiwafungulia hawa nalala bila shaka kabisa. Bahati nzuri kwa mafunzo yao hawali chakula cha kutupwa chini hata iweje.

View attachment 1694958
Safi sana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Dogs are loyal
Na mbwa ni moja ya wana familia mnapoishi
Mpe mbwa chakula hatokusahau miaka nenda rudi ataonesha tu shkran....ila mwanadam hata umfanyie nini hana shkran

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Inategemea na aina ya mbwa. Kuna mbwa usipompa chakula siku moja ukamkuta ana njaa anaanza na wewe. Mengine yatafuatia....

Rotweiller.
Belgium mallinois
Bulldog

Si rafiki hawa.

Jamii ya german shepherd ni mbwa bora kwa urafiki.
 
Inategemea na aina ya mbwa. Kuna mbwa usipompa chakula siku moja ukamkuta ana njaa anaanza na wewe. Mengine yatafuatia....

Rotweiller.
Belgium mallinois
Bulldog

Si rafiki hawa.

Jamii ya german shepherd ni mbwa bora kwa urafiki.
Yah!rottweiler vichwa vyao vibovu [emoji23][emoji23][emoji23]
German shepherd safi ana akili sana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom