Hawa mbwa hawana urafiki na mtu wasiyemfahamu. Ulinzi Shirikishi niliwakatalia baada ya kuwa naibiwa home then wanataka niwachangie mwisho wa mwezi

Mbwa Kilo 80.. Huu ni uongo mkubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani mmbwa amemzidi uzito mkude
 
Niliona kwenye habari moja ya nje kuna breed moja ya mbwa south africa inatumika kuwinda Simba.Nikajiuliza why tunatengeneza vitu vya ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…