Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Ukienda kukopa kwa hawa watu sharti lao la kwanza uwe unalipa kila siku ndani ya siku 29. Then riba ni 18%. Hawataki kwa mwezi wala kwa wiki ni daily.
Dhamana ya vifaa vya nyumbani kwako ni muhimu for anything. Kwa starter wa biashara huezi kubali hii kitu.
Dhamana ya vifaa vya nyumbani kwako ni muhimu for anything. Kwa starter wa biashara huezi kubali hii kitu.