Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Usijaribu...Ukienda kukopa kwa hawa watu sharti Lao la kwanza uwe unalipa kila siku ndani ya siku 29. Then riba ni 18%. Hawataki kwa mwezi wala kwa wiki ni daily. Dhamana ya vifaa vya nyumbani kwako ni muhimu for anything. Kwa starter wa biashara huezi kubali hii kitu.
utakuwa mwalimuUkienda kukopa kwa hawa watu sharti Lao la kwanza uwe unalipa kila siku ndani ya siku 29. Then riba ni 18%. Hawataki kwa mwezi wala kwa wiki ni daily. Dhamana ya vifaa vya nyumbani kwako ni muhimu for anything. Kwa starter wa biashara huezi kubali hii kitu.
Jamaa hujamwelewa:Mahesabu yao hua yana target 45% mpaka 48% kwa riba hivyo ngumu sana kujinasua kwenye mkopo kama huo! Inakuaje kila siku ulipe interest ya 18% kwa mwezi mzima!!?
Umesha wahi kukopa mkuu kwenye hizi taasisi binafsi!!? Sio benk!Jamaa hujamwelewa:
Yaani ukikopalaki 300000/= itarejesha laki 3 na 54 elfu. Maana yake kila siku unalipa 11800/=
Ndio mkuu ilinitesa sanaUmesha wahi kukopa mkuu kwenye hizi taasisi binafsi!!? Sio benk!
Balaa! Hiyo riba utakayo lipa kiuhalisia utakuta imezidi! Hua wana calculator mbovu kuliko ya TRANdio mkuu ilinitesa sana
Wapi huko jamani na mie nipate mbususuHuku kwet tunae group lao hao wamama waliochukua mikopo ya Kausha dam
Marejesho j5 na Jmos
Unajipostia tu group unashangaa ankuja inbox mnayajenga unampa rejesho unapewa kipochi manyoya
Welcome to Jumanji
Calc mbovu kuliko ya Tra πππBalaa! Hiyo riba utakayo lipa kiuhalisia utakuta imezidi! Hua wana calculator mbovu kuliko ya TRA
Hiyo ni mikopo ya kausha damu aka mikopo ya moto. Wachuuzi wadogo wadogo wa jinsia ya kike, ni wahanga wakuu wa hii mikopo.Ukienda kukopa kwa hawa watu sharti lao la kwanza uwe unalipa kila siku ndani ya siku 29. Then riba ni 18%. Hawataki kwa mwezi wala kwa wiki ni daily.
Dhamana ya vifaa vya nyumbani kwako ni muhimu for anything. Kwa starter wa biashara huezi kubali hii kitu.