Hawa mtibwa wanatutia aibu

Kwanini sina busara,kisa Zeruzeru?embu tafuta kamusi ya Kiswahili then tafuta neno Zeruzeru lina maana gani. Acha kukariri ujinga jinga wewe.
Nafikiri shida sio usahihi wa hilo neno kwani lipo sahihi kilugha lakini si vizuri kumuita mtu kwa kilema chake. Mfano huwezi muita mtu mwenye ulemavu wa jicho moja kwa kusema "wewe chongo njoo nakuhitaji" ingawa kilugha hamna shida
 
Nagundua kabisa dhahiri kwamba ushabiki wa Mpira wa miguu bila unafiki haitoshi...
 
Kwanini sina busara,kisa Zeruzeru?embu tafuta kamusi ya Kiswahili then tafuta neno Zeruzeru lina maana gani. Acha kukariri ujinga jinga wewe.

Respect of human dignity ndo chanzo cha amani nyakati zote, wao wenyewe hawapendi uwaite hivyo, shauri yako mimi ngoja nibaki na huu ujinga wangu.
 
Mbna na nyny mlitutia aibu kwa waarabu na gormahia 4G[emoji2][emoji2]
 
Ikifika saa kumi na mbili ndio utaelewa Sisi mashabiki wa Nkana na nyie wa Mikia mnaojipa matumaini pasipo uwezo ni nani Mnafiki.
Mnafiki anyooshe mikono kwani ameshadhihiri.
Wanjiku vipi ndio umepotea kabisa. Mdomo umekuponza.
This is Simba sio migongo wazi wanaopigwa nyumbani.
 
Wanjiku leo kapotelea wapi?
Unateseka Kwanini unateseka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…