TsotsiKwesta
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 126
- 258
Maneno mengiiiiiiiiiiiiii,wakaka maana yake nini?Donβt pay attention to my swahili, did you at least get the message I intended to share? Smh what a nitwit
Asante ,snapchat.....Katika kizazi chetu hichi wanaume tunapitia changamoto ya kupambana na yafuatayo.
1. Filters
2. Make up excessive use of makeup.
3. Beautyplus and 360 cameras
4. Artificial hair
Kupata mke kipindi hiki kwenye mitandao lazima uyazingatie hayo lasivyo utaamia sana.
Kila mwanamke mzuri kila mwanamke ana shape, kila mwanamke mweupe lakini ukikatana nao unasema ndio huyu kweli au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huu ni mtazamo wako sikulaZimishi,
Wakaka ni kiswahili cha wapi mkuu?
[emoji122]Halafu Wakenya wakisifika hadi huko Ulaya / Marekani kuwa wanaongea Kiswahili fasaha kabisa kuliko Watanzania tunakataa na kukasirika.
Snap chatHivi kile kipini cha puani wanaweka kwny app gani?maana kila mdada picha yake kaweka kipini puani km ng'ombe
Sent using Jamii Forums mobile app