TsotsiKwesta
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 126
- 258
Katika kizazi chetu hichi wanaume tunapitia changamoto ya kupambana na yafuatayo.
1. Filters
2. Make up excessive use of makeup.
3. Beautyplus and 360 cameras
4. Artificial hair
Kupata mke kipindi hiki kwenye mitandao lazima uyazingatie hayo lasivyo utaamia sana.
Kila mwanamke mzuri kila mwanamke ana shape, kila mwanamke mweupe lakini ukikatana nao unasema ndio huyu kweli au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huu ni mtazamo wako sikulaZimishi,
1. Filters
2. Make up excessive use of makeup.
3. Beautyplus and 360 cameras
4. Artificial hair
Kupata mke kipindi hiki kwenye mitandao lazima uyazingatie hayo lasivyo utaamia sana.
Kila mwanamke mzuri kila mwanamke ana shape, kila mwanamke mweupe lakini ukikatana nao unasema ndio huyu kweli au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huu ni mtazamo wako sikulaZimishi,