STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
mademu wa sikuhizi huwezi kusikia eti ''Baby nna
mimba yako'', hawapatagi mimba hawa hata ule rosti
miaka 8, ukimwaga ugali wanamwaga
mboga...wanaopata mimba hawa ujue wamekuja
mjini na mbio za Mwenge...
Kuwa makini sana, Mapenzi ya siku hizi ni Timing za kumchinja Kobe, ukidhani umewahi kumbe
umewahiwa,True Love ni ngumu sana kupata kama
kusikia kolabo ya Suma Mnazaleti na Justin Bieber
mimba yako'', hawapatagi mimba hawa hata ule rosti
miaka 8, ukimwaga ugali wanamwaga
mboga...wanaopata mimba hawa ujue wamekuja
mjini na mbio za Mwenge...
Kuwa makini sana, Mapenzi ya siku hizi ni Timing za kumchinja Kobe, ukidhani umewahi kumbe
umewahiwa,True Love ni ngumu sana kupata kama
kusikia kolabo ya Suma Mnazaleti na Justin Bieber