Hawa ndio mademu wakali kuliko wote Bongo

1. Wema Sepetu
2. Agnes Masogange
3. Batuli
4. Irene Uwoya
5. Sinta

Au mnasemaje wadau wa mademu wakali!
Ongezea wengine ambao ni gumzo na ukiweza tupia tupicha

Hebu nen
da matako bar Temeke halafu uje na edited list...
 
Yaani wew huna macho kabsa ndugu, has iyo lists ndio kina nani hao?? mtaani kuna watoto wazuri mpaka unajiuliza hivi uwa nao wanakunya mavi kweli,
Inawezekana wanakunya ila itakuwa ni kitu tofauti sio mavi
 
Mkuu hiyo nafasi ya Wema afadhali ungemweka Batuli
 
Hao ni mademu maarufu bongo sio wazuri wewe vipi
 
Jamaa yupo right kwani uzuri Wa kitu ni muonekano Wa nje naye alivyo angalia muonekano Wa nje akakumbana na hao
 
Mkuu ni bar ya kishua kuanzia alhamis hadi jumapili kuna bamba sana watoto wakali wa kila aina kuanzia wazungu,wahindi,waarabu,wa africa ushindwe wewe tu iko kalibu na jackies masaki barabarani kabisa jioni muda mzuri
Ukiwa inatokea town ipo b4 Jackie or after? Ipo barabarani?
 
Mkuu ni bar ya kishua kuanzia alhamis hadi jumapili kuna bamba sana watoto wakali wa kila aina kuanzia wazungu,wahindi,waarabu,wa africa ushindwe wewe tu iko kalibu na jackies masaki barabarani kabisa jioni muda mzuri
Jinsia yako tafadhari
 
Umetengeza top 6 halafu Tunda hayupo, si bure unatafuta bifu na Hance Mtanashati [emoji3]
 
Labda hao ndio mademu wakali ukiwa umelewa
 
Acha kujitoa ufahamu yani unaacha kumsifia mkeo wako unawasifia hao ambao kutwa wanaangaika na vipodozi uzuri wao ni kasababu wanauwezo wa kununua vipodozi lakini amini nakwambia mtaani kuna mabinti wazuri naturally bila make up hata wewe ukiwaona unashtuka Hongera kwa wadada wasiotumia make up mnamwamini Mungu kuwa alikuumba mzuri
 
Kwenye hiyo no moja umekosea,kuna clip moja nimeiona akivijali kunako sita kwa sita na kijana mmoja hajavaa yale manywele yake ya bandia(kasuka mabutu),hana si hizo ulizozitaja
 
Labda nikupe assignment, mtafute Wema pale anapoamka asubuhi au kabla hujaweka makeup pamoja na kuvaa zile wigi zake then urudi kutupatia majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…