Tetesi: HAWA NDIO MAJASUSI WA CPJ WALIOSHTUKIWA NCHINI TANZANIA...

Tetesi: HAWA NDIO MAJASUSI WA CPJ WALIOSHTUKIWA NCHINI TANZANIA...

Kazi ipo maana hakuna anaeleweka hapo, dunia kiza sana ee Mungu tuwashie taa tuonane vizuri nchini mwetu,Mwanangu Tanzania ulikua mtoto, sasa mama umekua sasa himili mikikimiki usiozoea Mungu yupo nawe tu chozi linanitoka mwanangu,mwanangu chechemea uliofundwa usiseme kwa watu,maneno umumunye mwanangu
 
huyu bwana mtiririko wa hoja zake zote za kufikirika alafu yeye anaita ni uchunguzi, anakwambia jf 100% ipo kwa ajili ya kuiangusha serikali (wazo lake sijui anahisi wadau wa jf huwa tunakutana sehemu kupanga mashambulizi, hajui sera mbovu na kushindwa kwa jamaa ndo kinacho tuunganisha)

yaani hoja zake ni za kuunga unga, inafika sehemu anaona kabisa anakosea (kutaja nchi kama italy kuendesha uvuvi haramu ) anakimbia kusema nasema kama mwanaharakati

huyu bwana asipo zuiwa atakuja kutuweka matatizoni
 
HAWA NDIO MAJASUSI WA CPJ WALIOSHTUKIWA NCHINI TANZANIA...
Ujinga mtupu!
Wenzio wanajua kikowapi, wakati gani na ni nini, hata wakikaa sitting room kwao.
Sattelite kibao ziko angani, hebu zipige marufuku au tuma polisi wakaziweke ndani!
 
Back
Top Bottom