Tetesi: HAWA NDIO MAJASUSI WA CPJ WALIOSHTUKIWA NCHINI TANZANIA...

Tetesi: HAWA NDIO MAJASUSI WA CPJ WALIOSHTUKIWA NCHINI TANZANIA...

Kama ni majasusi ni kwanini hawajapelekwa mahakamani?
 
Huyu ccm wamemtoa akili amekuwa kama zuzu
Anayosema Musiba ni kweli. Kuna watanzania wanawatetea hawa wageni japokuwa wanaambiwa wamekiuka sheria zetu za uhamiaji! Sasa kama walikuwa na nia njema kwanini walifichama! ? Kwanini hawakueleza kilicho waleta? Halafu mijitu iliyozoea shamba la bibi hata kwa usalama wetu wanakasirika! Keep it up Musiba, tupo tunao husudu unayoyafanya. Na mimi natamani kuwa kama wewe.
 
Yaani unaweza kimbia uka download ukaishia kukutana na pumbaz yaani pumbaz za kimataifa, lakini kama alivyosema ni mawazo yake yeye kama yeye na akili yake imeweza kufikia huko katika swala zima la kufikiri, kwa hiyo labda tumuache tu kama alivyo
 
Yaani unaweza kimbia uka download ukaishia kukutana na pumbaz yaani pumbaz za kimataifa, lakini kama alivyosema ni mawazo yake yeye kama yeye na akili yake imeweza kufikia huko katika swala zima la kufikiri, kwa hiyo labda tumuache tu kama alivyo
wakati wa uchaguzi tulishuhudia kikundi cha propaganda na IT kikiongozwa raia kutoka kenya na korea wakitaka kumsaidia Mamvi
 
Mi naona kabisa Musiba kuna kitu anakijua kweli na uenda yeye mwenyewe yupo hapo kuwaonyesha wale wanaofanya vitu vya nyuma ya pazia ili waone kabisa kuwa wanajua kile wanachofanya.
Musiba si wa kupuuzwa kuna vitu vinafanyika kweli.
 
T.V yenyewe wanatumia TECNO T71 (Toleo la kwanza la Tecno Android) kurekodia matangazo na vipindi vyao. Watazamaji mpaka watumie vibatali/mishumaa kummulika mtangazaji ili wamwone.

Ndio maana akaitwa MUSIBA, kwani ujinga/upumbav ndio msiba wa taifa letu sasa hivi.
 
huyu bwana mtiririko wa hoja zake zote za kufikirika alafu yeye anaita ni uchunguzi, anakwambia jf 100% ipo kwa ajili ya kuiangusha serikali (wazo lake sijui anahisi wadau wa jf huwa tunakutana sehemu kupanga mashambulizi, hajui sera mbovu na kushindwa kwa jamaa ndo kinacho tuunganisha)

yaani hoja zake ni za kuunga unga, inafika sehemu anaona kabisa anakosea (kutaja nchi kama italy kuendesha uvuvi haramu ) anakimbia kusema nasema kama mwanaharakati

huyu bwana asipo zuiwa atakuja kutuweka matatizoni
Mbona nayeye ana ID yake humu ya kudhalilisha wapinzani na kumtetea jiwe.
 
Chadema imewatetea majasusi wa huko nje kuja kuiangamiza Tanzania, sijui kwanini hiki Chama hawapendi amani, sijui nani anawadanganya kuwa watafaidika amani ikivurugika.
 
Zitto na tuhuma za kula Shemejiye hazikujibika na mkwara wake uliishia hewani
Niambie ni dhambi gani mtu KULA mke wa marehemu rafiki yako!? Mandela alioa mke wa marehemu Samola Machel.Kwangu mimi iwe kweli au sio kweli kuhusu Zitto na mke wa MArehemu Deo Filikunjombe sio issue, issue kwangu ni hi, hivi gazeti la habari la lenyewe linaandika UDAKU!? Habari ile ingeandikwa na SANI, na yale ya Shigongo wala kwangu isingekua AJABU, this is why hata wasomaji wa Gazeti la Tanzanite ni watu wasio makini, hakuna mtu makini hua anasoma kigazeti kama hicho, unless kue na scandal kama hiyo ndipo mwenye scandal huamua kukisoma hicho kipeperushi.
 
Back
Top Bottom