Hawa ndio mastar wa 5 wa bongo ambao wametoka familia za kishua

By lusungo

Huyo si mtoto Wa Tsere aliyekua mkurugenzi Wa AICC?

Ndio huyu amekulia kwamrefu jirani na cet garden bar halafu tsere hakua na makuu sasa stunna anakuja n ngonjera zake kua wa kishua

Hivi baba anaweza kuwa Mkurugenzi AICC halafu familia yake isiwe bora. maana kutokana na tafsiri ya mtoa mada... namnukuhu hapo chini

Hakuna mtu asiyejua maana ya watoto wa kishua basi kama yupo basi maana halisi ya neno hili ni wale watoto waliozaliwa kwenye familia zinazojiweza au unaweza kuita familia Bora.
 

nakupm wa kishua
 
historia haipigiwi makofi tunataka kuona nani anafanya nini for now....kimsingi tunakotoka is imaterial the point is now.
 
Hata mie wakishua, mzee Dg idaran fulani enzi za mwinyi, baloz usa, waziri kipindi cha ben, nimezaliwa usa, maisha bado nayaona magumu tu, ushua gan unazungumzia mtoa uzi😆😆
 
Sasa hivi ni mzee wa kishua amekuwa mwenyeji sana hapa duniani.
 
wewe mwenyewe star ( wa jamii forum) na unatoka familia bora mara nyingi ukija bongo hupiti Airport ya Dar wewe unaenda direct Nairobi zen unachukua basi unakuja bongo. hahahahahaua hivi mbona hukushiriki big brother?
 
hiro rinisher kama vire rinavuta bange hebu riangarie sura yake , arafu hii mitoto ya wachungaji inakuwa na tabia mbofu mbofu richeki hiri rimeweka hereni kuna rile ringine rinajiita rinah kazi kuva nguo fupi fupi
 
"Kuna tofauti gani kati ya temeke na mbezi? ama ukiishi mbezi utakapokufa hauozi?/haipendezi eti kutomjali mwenzako kwasababu ya mavazi,au sababu ya makazi!"
Darubini by Afande selle
 
Hivi mbona wamemsahau King Kiba 🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…