Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa sababu ana mlengo wa siasa za upinzani auHuyo hakuna lolote,
Namkubali sana Miss Zomboko..af why hareply comment?..au ni JF employee na kazi yake ni kupost tu habari?Huyu Miss Zomboko hanaga shobo na kureply. Ikitokea habari chap anaileta humu. Then anakaa kimya.
Mamtaijadili hiyo habari, mtabishana ,yeye huyo hajali ashalog off
Ni member kama me na weweNamkubali sana Miss Zomboko..af why hareply comment?..au ni JF employee na kazi yake ni kupost tu habari?
๐๐Kwahiyo mimi mnaniona ni kilaza tu humu sio?..Aya bana sawa.
Umemsahau na beth itakua ni pacha hawa waremboHuyu Miss Zomboko hanaga shobo na kureply. Ikitokea habari chap anaileta humu. Then anakaa kimya.
Mamtaijadili hiyo habari, mtabishana ,yeye huyo hajali ashalog off
๐๐ Mkuu nakuomba fatilia wengine kwangu hutaambulia kitu kwakweli! Labda Kama unamuda wa kupoteza hapo sawa lkn kwa content za muhimu hapa umekosea!..
Hatuchekani ndugu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo mimi mnaniona ni kilaza tu humu sio?..Aya bana sawa.