Hawa ndio Most Female GreatThinker Jf nzima...

Singo maza hapa wanahusika vipi na mada yako
Anamaanisha au anataka kutuambia anawajua hao aliowataja kwamba ni Single Mothers.

Hakuna jingine hapo. Kwenye kuwa GT wa jukwaa moja then....ghafla SINGLE MOTHERS.
 
Kunywaaa sodaaa kila mtu amepewa uwezo wake wengine walikuwa wwnafit kwenye somo la History wengine Math na wengine kiswahili tunatofautianaaaa
 
Kwani usingle mother ni ulemavu. Mbona hii imekua ndio fimbo ya kuchapia wanawake humu JF.

Sio lazima kila mtu awe na hizo concrete nondoz. Kuna wengine wamebobea sekta nyingine ndio maana waliopendekeza majukwaa hawakuweka jukwaa la intelligence peke yake. Yapo majukwaa kedekede mtu afit anapoweza. Kila mtu akiwa na hizo nondo then dunia haiwez zunguka.
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…