Hawa ndio top fans wa jamii sport 2023 na sifa zao

Kwamba sipo kwenye list [emoji23]
Hakikisha uwe na sauti ya kidemu ,unaongea Kwa mapozi ,wangekutaja ....

Mtoa maada anatafuta sifa tu Kwa mademu hajui kama Ni wake za watu Hao
 
[emoji23][emoji23] sikukuona kabisa Baada ya 5
 
Yupo member amesahaulika kwenye huu uzi, huwa anaongoza kupigwa BAN kila baada ya miezi miwili . Anaongoza pia kwa kuwa na ID nyingi humu

Simtaji kwa sababu jamaa anapenda sana misifa.
Genta???
 
Hawa ndugu zetu kabsa [emoji23]
 
Hii orodha imeandaliwa ofisi gani? Kwamba SAYVILLE hamumuoni au mpaka atoe rushwa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna 5 za kishirikina
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda anawaweza wengine, mie haniwezi huyo hata kwa kukopaa.
 
Anawaweza kina nani? Sema tuu anaona aki quit the game ataumbuka...ila kama makavu anayapokea mpk anatamani kulia 😆
 
Anawaweza kina nani? Sema tuu anaona aki quit the game ataumbuka...ila kama makavu anayapokea mpk anatamani kulia 😆
Yeye huwa anasema anawamudu. Yaani mkija huko na mahasira yenu, wengine na matusi yao; mkifika tu kwake, mnatulizwa kama maji ya mtungi.
 
Sijaelewa 😑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…