Hawa ndio vijana sita wenye nguvu na kukubalika zaidi Tanzania

Jaman jaman mengi na bakheresa umewapotezea kweli aya bhana mpaka sabuni ya azam
 
Nguvu ni nini??hivi diamond ananguvu gani??ninyi muwe mwaandika mambo mnayo yafahamu sio kukurupuka.hapo mtu pekee mwenye nguvu ni Ruge mtahaba kwani anauwezo wa kushawishi. Chochote kile kuhusu tasnia ya musiki na kikatekelezeka hiyo ndio nguvu ya ushawishi .sio kuzungumziwa ktk magazeti ya watu wasio na elimu useme hiyo nayo ni nguvu yta ushawishi tena kwa kashfa chafu.Ok,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Sasa na mimi nikiongeza hao watu huo utakua utafiti wa nani wangu wako?..unajua tofauti ya utafiti na maoni?..ukisikia akili ndogo ndo kama hizi zako
 
Last edited by a moderator:
Unaposema kijana unamaanisha kijana wa umri gani?

Mimi nafahamu kijana mwisho miaka 35.

Sasa kwa ufahamu wangu naona orodha yako ina wazee.

 
Unaposema kijana unamaanisha kijana wa umri gani?

Mimi nafahamu kijana mwisho miaka 35.

Sasa kwa ufahamu wangu naona orodha yako ina wazee.

Hata mie nilikuwa na uelewa kuwa ujana mwisho 35 sasa hiyo orodha kama wamezidi labda Diamond wengine cwajui vizuri
 
Umemsahahu bilionea mtoto aka kubwa jinga le mutuz system wa mbebebez.
 
kumuacha lulu,haikubaliki.ameshawishi hadi mahakama imemtoa jela.tungekuwa sisi upelelezi miaka 3.she deserve no 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…