Hawa ndio wabunge ambao hawatarudi tena 2025, Waanze kubeba virago

Hawa ndio wabunge ambao hawatarudi tena 2025, Waanze kubeba virago

Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Mbunge WA Segerea
Bonnah Kamoli
Asubirie 2025, kama HAKUTAKUWA na wizi was kura ni mwisho kumuona mjengoni.
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Mrisho Mashaka Gamble
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Mbeya wameanza ujenzi wa 4 ways Uyole Mpaka Ifisi hii itambeba sana pia miradi ya maji.
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Jimbo la HAI, UBUNGO, KIBAMBA.
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Duuuh! Mpaka nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa yupo kweny list?
 
Mbunge wa Kigamboni Ndugulile hana chake,

Watureteee Makonda, tureteeni Makonda Kigamboni
 
Alieiba KURA
Akaiba Sadaqa za Wanakondoo
Anaenda tena kuiba KURA 2025
 
Kwa Tulia siyo kweli

Hawezi shinda hata kura ya maoni CCM 2025,usione sababu ni speaker basi ndiyo Mbeya anachagulika.

Kama sio Magufuli 2020 asingeweza mshinda wakili Tanbwee Shitambala kura za maoni CCM.

Tambwee anaweza pewa u DC muda wowote ili asigombee ndani ya CCM lkn uchaguzi mkuu ukiwa wa uhuru na haki na Speaker akipata hata robo ya kura za Sugu basi Dr Tulia atangazwe kashinda.

Magufuli hayupo,Dr Tulia hawezi shinda Mbeya labda wagawe jimbo hilo na yy asimame jimbo jipya
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule

6. Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini amekula 400 m za boda boda

7. Mbunge wa Geita vijijini Joseph musukuma , ameshindwa ujenzi wa barabara kuu itokayo Geita kwenda Nzera makao makui ya Halmashauri.

8. Mbunge wa Jimbo la Hai , Saashisha Mafue, ameshinda kumalizia Jengo la ccm wilaya ya Hai.

9. Mbunge wa Jimbo la Gairo, ameshindwa kujenga kituo cha afya wananchi wanatembea Km 200 kufuata huduma ya afya.

10. Mbunge wa Moshi Mjini ameshindwa kupanua kwa kiwango cha lami. barabara inayohudumia Hosptali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini eneo lenye umbali wa 2.6 km tu. Huyu mbunge hafai kwa 100%
 
Mrisho Mashaka Gamble
Hili ni Jembe, Tuache unafiki na Chuki! kwa Arusha Mjini bado tunamuhitaji sana tu! anapambana na kero za wapiga kura wake vizuri Sana! yeyote atakaeingiza mguu kwa jimbo la Arusha Mjini dhidi ya Gambo anachapika Mapema kabla jua halijakaa usawa wa utosi.
 
6. Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini amekula 400 m za boda boda

7. Mbunge wa Geita vijijini Joseph musukuma , ameshindwa ujenzi wa barabara kuu itokayo Geita kwenda Nzera makao makui ya Halmashauri.

8. Mbunge wa Jimbo la Hai , Saashisha Mafue, ameshinda kumalizia Jengo la ccm wilaya ya Hai.

9. Mbunge wa Jimbo la Gairo, ameshindwa kujenga kituo cha afya wananchi wanatembea Km 200 kufuata huduma ya afya.

10. Mbunge wa Moshi Mjini ameshindwa kupanua kwa kiwango cha lami. barabara inayohudumia Hosptali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini eneo lenye umbali wa 2.6 km tu. Huyu mbunge hafai kwa 100%



6. Kama amekula pesa na una ushahidi wahi polisi chap, sio kuja kutueleza hapa hii nchi ya kidemocrasia na ina heshimu haki za watu kupitia mahakama.

7,8, 9, 10 - Fanya rejea ya kazi za wabunge kama hauzijui tukujulishe, mambo ya Ujenzi M'bunge hausiki nayo! lete sababu genuine.
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Mbunge wa Mbagala (Chaurembo) ni bomu kabisaa.
Anatumia fedha kuunda makundi na hakuna anachokifanya cha maendeleo zaidi ya kujineemesha kupitia miradi ya umma
 
Back
Top Bottom