Hawa ndio wachezaji 10 bora wa soka duniani wa muda wote

Hawa ndio wachezaji 10 bora wa soka duniani wa muda wote

We kijana unasoma na kuelewa?
Nimekutajia sababu za messi kutokuondoka spain we unaanza kunitajia sijui uchafu gani?
Nipe sababu za messi kuondoka spain na kwenda kwenye ligi dhaifu km uingereza na italy

Nitajie timu iliyochukua uefa ambayo haitoki spain ndani ya miaka saba

Mchezaji bora, mfungaji bora wote wametoka spain sasa aondoke hapo aende wapi?

Na msimu huu messi anachukua ufungaji bora na mchezaji bora wa uefa

Mfano hiyo ligi ya uingereza yenye mabeki wabovu messi akienda timu km man.city anaweza funga goli 60 kwa msimu
Messi hawezitoka hapo kamwe maana hana uwezo wa kupambana kwingine kama CR 7 ambaye popote anaweka kambi na anafanikiwa.

Kama kweli anajiamini mwambie atoke hapo akafanikiwe ktk ligi nyingine kama alivyopambana CR 7 tangu akiwa Ureno, Uingereza, Hispania na Italy.
 
Hana kigezo cha kuwepo hapo...tatizo watanzania mnaangalia madoido uwanjani, but kaipa mafanikio gani tim yake! Hilo ndio swali!

Uefa ana 1
Ballon de ore 1

Sasa utamuweka wapi hapo, hata zidana na de lima wamemzidi...
Kiongoz.achana nao hao si wafatiliaj wa mpira we angalia hata comments zao unaona kabsa ni wale watu wa kusubiria kombe la dunia ndo waangalie mpira

Kwa mim namba 1 ni lionel pekee,..yaan hangaiken kupanga hzo zingne ila hyo na mba1 isiguswe,hakuna cha pele wala maradona..
 
Man City ya kichangani atafunga hata goli trillion 1 lkn kiukweli mwaka m1 nyuma CR 7 alichukua tuzo hiyo hiyo ya uchezaji bora wa dunia akiwa epl UK, je ligi ya UK ilikuwa bora kuliko ya ya Hispania/la liga[emoji848]
We kijana unasoma na kuelewa?
Nimekutajia sababu za messi kutokuondoka spain we unaanza kunitajia sijui uchafu gani?
Nipe sababu za messi kuondoka spain na kwenda kwenye ligi dhaifu km uingereza na italy

Nitajie timu iliyochukua uefa ambayo haitoki spain ndani ya miaka saba

Mchezaji bora, mfungaji bora wote wametoka spain sasa aondoke hapo aende wapi?

Na msimu huu messi anachukua ufungaji bora na mchezaji bora wa uefa

Mfano hiyo ligi ya uingereza yenye mabeki wabovu messi akienda timu km man.city anaweza funga goli 60 kwa msimu
 
Ndani ya miaka kumi tuzo ya mchezaji bora imeenda wapi?
Mbona unakuwa na ubishi wakitoto
Man City ya kichangani atafunga hata goli trillion 1 lkn kiukweli mwaka m1 nyuma CR 7 alichukua tuzo hiyo hiyo ya uchezaji bora wa dunia akiwa epl UK, je ligi ya UK ilikuwa bora kuliko ya ya Hispania/la liga[emoji848]
 
We ni mpumbavu kumbe hujui kitu nimesema miaka kumi kwasababu nina uhakika
Tatizo huna takwimu umekalia ubishi wakishenzi tu
Iombe Google ikusaidia ndio uje ubishe mpuuzi wewe
Ushatoka kwenye miaka 7 umeongeza hadi 10 tena, kakojoe ulale ili kesho urudi tena hapa na mahaba yako uchwara ya La liga.
 
Lombe google ndiyo mdudu gani vile[emoji848] kakojoe ulale maana povu lako limeshatafsiri jinsi gani ulivyo kilaza ktk uchambuzi wa mpira zaidi ya kuendeshwa na hisia zako za kimahaba ktk laliga[emoji1787][emoji1787]
We ni mpumbavu kumbe hujui kitu nimesema miaka kumi kwasababu nina uhakika
Tatizo huna takwimu umekalia ubishi wakishenzi tu
Iombe Google ikusaidia ndio uje ubishe mpuuzi wewe
 
Lombe google ndiyo mdudu gani vile[emoji848] kakojoe ulale maana povu lako limeshatafsiri jinsi gani ulivyo kilaza ktk uchambuzi wa mpira zaidi ya kuendeshwa na hisia zako za kimahaba ktk laliga[emoji1787][emoji1787]
IMG_20190430_203356.JPG


Tatizo wewe nimekwambia ni akili ndogo nampira hujui unaropoka ropoka tu

Nimekuuliza maswali unajamba jamba tu

Haya nimekusaidia hapo kwa miaka kumi mfululizo tuzo ya mchezaji bora inaenda spain
We ni mshenzi kwasababu unabisha bila fact unaleta uduwanzi ubishi wa vijiweni
 
Nimekusikia "cha ujuaji uchwara" wa mpira wa kwenye keyboards za JF hapa
View attachment 1085062

Tatizo wewe nimekwambia ni akili ndogo nampira hujui unaropoka ropoka tu

Nimekuuliza maswali unajamba jamba tu

Haya nimekusaidia hapo kwa miaka kumi mfululizo tuzo ya mchezaji bora inaenda spain
We ni mshenzi kwasababu unabisha bila fact unaleta uduwanzi ubishi wa vijiweni
 
We kijana unasoma na kuelewa?
Nimekutajia sababu za messi kutokuondoka spain we unaanza kunitajia sijui uchafu gani?
Nipe sababu za messi kuondoka spain na kwenda kwenye ligi dhaifu km uingereza na italy

Nitajie timu iliyochukua uefa ambayo haitoki spain ndani ya miaka saba

Mchezaji bora, mfungaji bora wote wametoka spain sasa aondoke hapo aende wapi?

Na msimu huu messi anachukua ufungaji bora na mchezaji bora wa uefa

Mfano hiyo ligi ya uingereza yenye mabeki wabovu messi akienda timu km man.city anaweza funga goli 60 kwa msimu
We jamaa acha ubishi, ni sawa na Mwalimu ambaye kila mwaka anafundisha Biology form 4 tu, kwa muda wa miaka mitano atakuwa amekariri kabisa notes zote kichwani na ataonekana mkali kumbe amezoea somo na kwa muda mrefu, Mwalimu kama Huyo hata ukimpa maswali ya Biology ya form 1 atachemka hata kama form 4 ni kubwa kuliko form 1, na Mwalimu huyo huwez kusema ni bora kuliko yule anayefundisha Biology form 1 hadi 4 na anafanya vizuri katika madarasa yote.
 
Usiniletee mfano wa kipumbavu

Mesi anapcheza uefa hakutani na hizo timu dhaifu kutoka kwenye ligi dhaifu?

Ubora wa ligi bora unapimwa kwa mafanikio ya uefa kwasababu wanakutana mabingwa tu

Haya nijibu haya maswali yafuatayo

Ndani ya miaka kumi kombe la uefa limeenda nchi gani?

Ndani ya miaka kumi mshindi wa baloon dor ametoka ligi gani?

Ndani ya miaka kumi mfungaji bora uefa ametoka ligi gani?

Ndani ya miaka kumi kikosi bora cha uefa kimetoka ligi gani kwa wingi


Acha kuongea kwa kubwabwaja ongea kwa fact
We jamaa acha ubishi, ni sawa na Mwalimu ambaye kila mwaka anafundisha Biology form 4 tu, kwa muda wa miaka mitano atakuwa amekariri kabisa notes zote kichwani na ataonekana mkali kumbe amezoea somo na kwa muda mrefu, Mwalimu kama Huyo hata ukimpa maswali ya Biology ya form 1 atachemka hata kama form 4 ni kubwa kuliko form 1, na Mwalimu huyo huwez kusema ni bora kuliko yule anayefundisha Biology form 1 hadi 4 na anafanya vizuri katika madarasa yote.
 
Unataka aende kwenye ligi dhaifu? Angalia uefa ndani ya miaka saba imeenda spain sasa ahame aende wapi
Tofautisha timu na ligi,barcelona na madrid wanatumia mamia kununua dembele,bale,ronaldo,suarez..lakini bado spurs anawapga tu nje ndani
 
Kiongoz.achana nao hao si wafatiliaj wa mpira we angalia hata comments zao unaona kabsa ni wale watu wa kusubiria kombe la dunia ndo waangalie mpira

Kwa mim namba 1 ni lionel pekee,..yaan hangaiken kupanga hzo zingne ila hyo na mba1 isiguswe,hakuna cha pele wala maradona..

Umeongea fact kamanda wangu...
 
Usiniletee mfano wa kipumbavu

Mesi anapcheza uefa hakutani na hizo timu dhaifu kutoka kwenye ligi dhaifu?

Ubora wa ligi bora unapimwa kwa mafanikio ya uefa kwasababu wanakutana mabingwa tu

Haya nijibu haya maswali yafuatayo

Ndani ya miaka kumi kombe la uefa limeenda nchi gani?

Ndani ya miaka kumi mshindi wa baloon dor ametoka ligi gani?

Ndani ya miaka kumi mfungaji bora uefa ametoka ligi gani?

Ndani ya miaka kumi kikosi bora cha uefa kimetoka ligi gani kwa wingi


Acha kuongea kwa kubwabwaja ongea kwa fact
Punguza mihemko, Mifano ya kipumbavu ndo nini?.

Anyway, mpira unauchambua kirahisi sana boss. Kwanza maswali yako yote jibu ni Spain. Nikuulize kitu kingine kati ya Ajax na Madrid au Juve au man city timu ipi inacheza ligi bora?? Na je timu ipi imefika nusu Fainali?? Unamfahamu Nasri aliyewika sana Arsenal akashindwa kuwika man city?? Je kuhu Michael balack wa Bayern na shevshenko wa ac milan walivyokuwa wakali kwenye ligi zao na vilabu vyao na kushindwa kabisa kufanya maajabu kabisa EPL na Chelsea?. Vipi kuhusu Iago aspas forward aliyesumbua ligi ambayo wewe unaiita bora na kushindwa kabisa kuwika ligi unayoiita mbovu?? Unadhan kwanini?? Anyway labda hujanielewa, twende kwa Samuel eto'o ambaye alikuwa mwiba mkali sana Spain ambayo wewe unaiita ligi bora lakin alishindwa kuonesha ubora ule ule kwenye serie A ambayo unaiita ligi mbovu.. mchezaji bora sio ligi gani tu bali pia ni kufit kwenye mifumo tofauti tofauti kwenye sehemu tofauti tofaut, ule uwezo wa kucopy na kufanya vizuri kwenye mifumo mingi tofaut ndo ubora wenyewe.

Messi ana maajabu anapokuw na Barcelona tu kwasababu mfumo wa timu umemzunguka Yeye kwa muda mrefu, Messi anafunga magoli mpaka 50 la liga, lakin anashindwa kufunga magoli 5 World cup au Komba lile la Amerika kusini. Anafanya maajabu UEFA na LA LIGA na Muda wote huo yupo na Barcelona, Messi yule yule anashindwa kufanya maajabu anapokuwa nje ya Barcelona, unataka kuniambia Argentina hakuna wachezaji wazuri? Aguero, Higuin, Di maria n.k.. ni wabaya? Jibu ni kwamba mfumo wa Argentina haujajengwa kumzunguka Yeye tofauti na Barcelona ambao umejengwa kwa miaka mingi ukimzunguka Yeye.

Messi ni bora ndani ya Barcelona, anapokuwa nje ya mfumo wa Barcelona ubora wake hauonekani,

Messi ameisaidia timu moja tu Duniani kuchukua makombe mengi, ni Barcelona tu. Japokuwa amecheza pia Argentina ila hana maajabu yoyote nje ya Barcelona.

Messi ambaye ndo mchezaji bora namba moja kwako, anaimbwa na kuheshimika ndani ya klabu moja tu, messi ni mfalme wa Barcelona lakin sio Argentina, wapo wachezaji ambao ni wafalme ndani ya klabu zao na mataifa yao, sifa ambayo messi hana.
 
Back
Top Bottom