luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Huyu mwenye timu kila akianzisha timu basi wadhamini wana furika ...Ni timu iliyopanda daraja lakini tayari ina wadhamini wa kutosha. Wapo Sportpesa, TBL, Maji ya Uhai, Simba Cement pamoja na GSM.
Niwape heko Singida Big Stars, hakika mnaupiga mwingi sanaView attachment 2314092