Hawa ndio wahenga Wa jf

Hawa ndio wahenga Wa jf

Wakuu kuna watu humu jf wamepanda vyeo ama daraja kuanzia Leo Na kiukweli tumekuwa hatuwatendei haki hata kidogo kwa kuwaita wakuu!

Hawa watu wamekula chumvi nyingi tu
Uthibitisho ni kuwa kuna watu humu
Wamejiunga jf miaka ya 2008 mfano
Mshana Jr
Asprin
Mtimkavu
Heaven saint
Miss natafuta
Troll
Mondray
Stunted
Saint ivuga
Dady
Smart911
Generous
Esky lait
Shunie
Nyan ngabu
Dah! Orodha ni ndefu sana
Tusaidiane kuorodhesha member
Wengine ambao ni wahenga watu
Humu JF ili tuwape heshima yao
Tuwe tunaanza mfano asante muhenga.....badala ya mkuu....


Post sent using JamiiForums mobile app
wengine hatuvumi tu
ila ni wahenga saana..[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Post sent using JamiiForums mobile app
 


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kuna watu humu jf wamepanda vyeo ama daraja kuanzia Leo Na kiukweli tumekuwa hatuwatendei haki hata kidogo kwa kuwaita wakuu!

Hawa watu wamekula chumvi nyingi tu
Uthibitisho ni kuwa kuna watu humu
Wamejiunga jf miaka ya 2008 mfano
Mshana Jr
Asprin
Mtimkavu
Heaven saint
Miss natafuta
Troll
Mondray
Stunted
Saint ivuga
Dady
Smart911
Generous
Esky lait
Shunie
Nyan ngabu
Dah! Orodha ni ndefu sana
Tusaidiane kuorodhesha member
Wengine ambao ni wahenga watu
Humu JF ili tuwape heshima yao
Tuwe tunaanza mfano asante muhenga.....badala ya mkuu....


Post sent using JamiiForums mobile app
Acha uwongo, kwenye list yako kuna waliojiunga hivi majuzi tu na hawekwepo hiyo 2008 humu labda kama walikuwa wakitumia ID tofauti, then wakazibadili au zikaunganishwa baada ya kuwa na ID nyingi!



Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
 
Acha uwongo, kwenye list yako kuna waliojiunga hivi majuzi tu na hawekwepo hiyo 2008 humu labda kama walikuwa wakitumia ID tofauti, then wakazibadili au zikaunganishwa baada ya kuwa na ID nyingi!



Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe pia muhenga nilikusahau

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom