Hawa ndio waliosababisha waislam wakauwawa pale mwembechai

Hawa ndio waliosababisha waislam wakauwawa pale mwembechai

Status
Not open for further replies.
Watanzania walishachagua wabunge na hao ndiyo wasemeji wao kule bungeni. Nyie TEC mlichaguliwa na nani na wapi kuwa wasemaji wawatanzania? Au nani aliwatuma kuwa wasemaji wa watanzania?
Hapo juu umesema Tec walinyamazia uchaguzi wa mwaka 2020, kwa maana ya kwamba ulikua na kasoro.
Hapa unasema watanzania walishachagua wawakilishi ambao ni wabunge!
Hao wabunge ni hao waliotokana na uchunguzi huo 2020?
 
Tulizeni makalio yenu,misikiti/makanisa yenu ya kukoroma yameshindwa kutoa tamko waachieni TEC waseme kwa niaba ya wakatoliki na watanzania kwa ujumla.
Acheni ubishi wa kindezi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom