Hujui lolote wewe Tulia, Sisi wataalam tukufahamisheKwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wamejiajili kijana au umechanganyikiwaTATIZO LA KUKOSA AJIRA HILI
Karibu mjiniKwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
mondi kichwa alafu anakipaji sana.mpaka kuwekwa karibu na wadau muhimu kama kusaga & farmily sio mchezo.
wasanii wangapi hawakupewa shavu ila kamulikwa mondi.win win situation
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe pia karibu kijijini kuwa na hisa nyingi sio kuwa mmiliki mkuu..Mke wa Kusaga ana hisa nyingi halafu anafuata Diamond, mtoa mada yupo sahihi.
Karibu mjini[emoji6]
Mtu akiwa na shea nyingi sio kuhalalisha ya kwamba ni mmiliki elewa tatizo nyie mmejawa na vihabari vya udaku,
alafu bado anausongo na mafanikio zaidi.Diamond ni genious wa kitaa in 10 yrs.. katoka street za tandale kula miguu ya kuku mpaka ubilionea.. si mchezo.. diamond anapigiwa simu hadi na rais jukwaani.. rais anasema wewe mwanaume
Nawe pia karibu kijijini kuwa na hisa nyingi sio kuwa mmiliki mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app