Huyo mama ni asili ya wapi.Huyu Mwana mama anaitwa Juhayna Zaghalulu Ajmy ni Mke wa Joseph Kusaga
Josepg Kusaga - Clouds Media
Juhayna Zaghalulu - Wasafi View attachment 1441945View attachment 1441946
Kabisa na karantini inahusikaTATIZO LA KUKOSA AJIRA HILI
Hahahaha, vijana wa kitanzania banaTATIZO LA KUKOSA AJIRA HILI
ZnzHuyo mama ni asili ya wapi.
Mbona kama kagame family
Ni kweli ila hamiliki peke yake kama mtoa mada anavyojaribu kutuaminisha, amewekeza wote na DiamondKwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa mbeya au chattel?Diamond ni genious wa kitaa in 10 yrs.. katoka street za tandale kula miguu ya kuku mpaka ubilionea.. si mchezo.. diamond anapigiwa simu hadi na rais jukwaani.. rais anasema wewe mwanaume
Halafu ni BFF wa Hema Malini😜Ni binamu wa Amitha Bachan.
Ni binamu wa Amitha Bachan.
Acha kufananisha neno Mkuu na city vya kipumbavu Huyo simara ñi wa kupuuzwa amechanganyikiwaNawe pia karibu kijijini kuwa na hisa nyingi sio kuwa mmiliki mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mbaka leo ulikuwa hujui hili?!?basi ndio hao wengine unao waona sijui diamond na wenzake ni vidampa tuKwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na yeye Nani Ni kidampa?Yaani mbaka leo ulikuwa hujui hili?!?basi ndio hao wengine unao waona sijui diamond na wenzake ni vidampa tu
Kwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
alafu bado anausongo na mafanikio zaidi.
si ajabu kuna siku tutamuona white house ya stastes akifanya yake.
Afu bado tu kuna watu wanamlinganisha na vipiga filimbi vya kariakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na hisa nyingi (zaidi ya 50%) moja kwa moja ni mmiliki mkuu.Nawe pia karibu kijijini kuwa na hisa nyingi sio kuwa mmiliki mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app