Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Je, mnadhani kama hawa makasuku na wanafiki ambao hata serikali ikipotoka na kukosea wana tumia nguvu kuunga mkono wasingekuwapo nchi hii ingekuwa imefika wapi kimaendeleo? Ni wazi kwa kujitambua na mijadala huru ingetokea basi taifa lingekuwa mbali sana.
JK alitaka Bagamoyo Port wakashangilia sana, JPM aka crash hilo wazo wakabinuka hadi sarakasi kumuunga mkono. JPM akazuia shughuli za kisiasa wakaandamana eti hapa kazi tuu na viongozi/wabunge mchongo wakakamaa shingo kuunga mkono lakini Samia kaleta maridhiano basi hao hao ndio bila aibu wako mbele kusema JPM alifungia nchi na sasa wanaweka mabango kuwa maridhiano ni kitu bora.
Limekuja la Bandari, angalia jinsi wanavyo wabeza wanaofanya mijadala ya hofu ya mkataba huo. Hawajibu hoja bali wanaleta vioja tuu. Sasa Waziri mkuu (PM) kama kiongozi wa serikali kaja na kauli kuwa mawazo mbadala na hofu ya wananchi yatachukuliwa na serikali na kufanyiwa kazi.
Sasa tusubiri MAKASUKU na WANAFIKI watasema nini tena! Bila hawa nchi hii ingefika mbali.
JK alitaka Bagamoyo Port wakashangilia sana, JPM aka crash hilo wazo wakabinuka hadi sarakasi kumuunga mkono. JPM akazuia shughuli za kisiasa wakaandamana eti hapa kazi tuu na viongozi/wabunge mchongo wakakamaa shingo kuunga mkono lakini Samia kaleta maridhiano basi hao hao ndio bila aibu wako mbele kusema JPM alifungia nchi na sasa wanaweka mabango kuwa maridhiano ni kitu bora.
Limekuja la Bandari, angalia jinsi wanavyo wabeza wanaofanya mijadala ya hofu ya mkataba huo. Hawajibu hoja bali wanaleta vioja tuu. Sasa Waziri mkuu (PM) kama kiongozi wa serikali kaja na kauli kuwa mawazo mbadala na hofu ya wananchi yatachukuliwa na serikali na kufanyiwa kazi.
Sasa tusubiri MAKASUKU na WANAFIKI watasema nini tena! Bila hawa nchi hii ingefika mbali.