Hawa ndio wanawake bana

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
Habari za jumapili wana MMU.
Unaweza kua umekaa na mwnamke mko wawili mnaongea mambo ya kawaida alafu sketi yake au gauni linaaacha sehemu ya mwili wake hasa mapaja.... wewe unaona tuu kawaida unahisi sababu ni fupi au ni fashion ya hio nguo...

Lakini akitokea mtu mwingine unaona anaanza kuziba ile sehemu iliyo wazi haraka haraka kama ni mapaja basi anabana miguu...
Unaanza kujiuliza alikua ANAKUTEGA au amekuona HAUNA MADHARA.
 
ameona hauna madhara
 
wengine wanaangalia uwezekano
 
Ukiona mwanamke
1.Amekuachia wazi sehemu ya mwili wake kama upaja na tt, hiyo ni COME ON SIGNAL
2.Anakuruhusu u access pochi yake na uone vilivyomo ndani, hiyo ni COME ON SIGNAL
3.Anacheka na kutabasamu bila sababu, hiyo ni COME ON SIGNAL
4.Anajishika mabega,nywele,ttz, mapaj* hiyo ni COME ON SIGNAL
5.Ameshika chochote mf mkono wake na anachezea kama ameshika ub00 hiyo ni COME ON SIGNAL

SUBIRI, usiende kwanza chunguza kwa umakini, wengine hawajatongozwa muda mrefu so wanakutega kuona kama bado wapo kwenye form, then ukiingia kingi unakula cha mbavu.Baadhi ya wanawake wengi hawaongei kwa maneno kama ME bali kwa vitendo.Ninacho hisi wewe ulipoteza 99.9% za kumgegeda mtu so kuwa makini usirudie uzembe tena!!!.
 
HAPA inabidi TULIPIE kodi maana mtu anaandika tuuu kwa kuwa AMEPIGA kiroba baasi ni sheedah tu.
 
hapo mkuu umetisha, ivi ikikutokea utafanyaje? me kama mwanamke anajipima kwangu na mm ntamuonyesha haki yake tuu ili wote tuende sawa maana sitaki dharau,yamenitokea sana haya
 
Hiyo ni ishara kuwa amekuona wewe ni shoga'ake a.k.a 'shosti' !

-Kaveli-
 
Ukiona hivyo ujue wewe ni joka la kidisa..[emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…