EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Mbbali na hapo, ni kwamba mwanaume huwezi kuhandle hayo yote muda wote na miaka yote, fanya unachoweza tu na kilicho ndani ya uwezo wako asipoeleweka au kuridhika na wewe pita kishoto.Ndo maana mahusiano ni vigumu Sana kudumu maana hivi vigezo vya kumridhisha mwanamke unaweza ukawa navyo kwa mda then hisia zake zikihama imekula kwako
Leo tuishie hapa
Hii point itabaki kuwa Siri ya mwanamke kama unamridhisha ama not, maana wewe unajuaje kama unamridhisha, ni ngumu sana wewe kujua, Sisi wanawake tunahitaji tension ya hali ya juu kwenye hilo tendo lakini cha ajabu wanaume wanafanya hili jambo kimazoea. Hili ni kosa kubwa sana. Wanawake wanabaki kupretend tu kama wameridhika.29. Wanawake ni wajeuri Kwa wanaume wasiowafikisha au kuwaridhisha kimapenzi. Hakuna mwanamke jeuri Kwa mwanaume anayemkojoza.
Noma sana!!!
Hii point itabaki kuwa Siri ya mwanamke kama unamridhisha ama not, maana wewe unajuaje kama unamridhisha, ni ngumu sana wewe kujua, Sisi wanawake tunahitaji tension ya hali ya juu kwenye hilo tendo lakini cha ajabu wanaume wanafanya hili jambo kimazoea. Hili ni kosa kubwa sana. Wanawake wanabaki kupretend tu kama wameridhika.
7. Wanawake kuna mambo wameyabinafsisha Kama Yao(miliki Yao) Mambo hayo ni UZURI, UREMBO, USAFI, MADEKO, MADAHA, MAPISHI, SAUTI NZURI, UTAMU, MAPOZI, MARINGO, N.K.
Mwanamke ukimsifia katika mambo hayo anajisikia Raha Sana kuliko unavyofikiria.
Ukimsifia mwanamke mwingine katika mambo hayo lazima Mwanamke wako atanuna kwani kila mwanamke anaona mambo hayo ni miliki yake.
Mfano, " Bebe wewe mtamu Kama chocolate"
"Una sauti nzuri Kama mlio wa zumari"
" Mtoto wewe Kwa kudeka umenishinda, yaani Kama mtoto mdogo"
" Napenda unavyoringa Kama Malkia vile, sikomi kukutazama"
Hiyo pisi sio ya bongo
Dah! Hii ID yako ni changamotoWanawake hawaeweki, ukijiona unawajua sana wanawake jua kwamba sikuzako zinakaribia
Kwanini mkuuDah! Hii ID yako ni changamoto
Wanawake wanaenjoi zaidi wakiwa kwenye Udikteta kuliko Demokrasia. Wanawake wanapenda kuamuliwa zaidi kuliko mijadala.
Kama kuna ka ukweli hivi
Niliwahi msifia mdada wa kwenye TV mbele ya mwanamke aisee palichimbikaaaaa.
Umenena vyema, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Alikupa somo zuri sana, mpaka pombe umeacha!Duh aisee hii ndo maana halisi tutafika jehanam tumechoka kinyama....
Mimi Nilikuwa mlevi mzur nikilewa Sana pombe Kali Basi fujo lake Lazima ningombane na wife Kuna siku nimelewa nikamwita mjini tukanunua nyama tukachukua bodaboda moja kurudi home..tulipofika home me bado Nina arosto na konyagi nikamwambia wife we nenda kaandae mboga me narudi town Mara moja...alichonijib Sasa eti "wanaume wengine mnazurura Kama mnafirwa iliniuma Sana yaani mbele ya bodaboda nilichofanya nikamwacha nikaenda town kuongeza vitu jioni nilimpiga mpk akakoma ikabidi mwenyekiti was mtaa apewe taarifa kwamba naua Huku...
Ikashauriwa tuachane kwa muda...baadae wife anapiga Simu kwamba arudi me nishamuacha sina Tena hisia naye kwa lile tusi...nikimkumbusha lile tusi ye anasema mbona na Mimi Nilikuwa namtukana.ina maana ye hajuagi kutofautisha nikiwa sijalewa na nikiwa maji..huduma zote Nilikuwa nampatia Sasa nataka nijaribu MWanamke mfanyakazi aliyesoma Huku na Mimi nimekata pombe sinywi Tena toka litokee Hilo tukio Nina mwezi ili sasa nione na wao inakuaje niishi naye hata miezi mitatu nitawapa update.