Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua,... tension ya hali ya juu ipi?!Hii point itabaki kuwa Siri ya mwanamke kama unamridhisha ama not, maana wewe unajuaje kama unamridhisha, ni ngumu sana wewe kujua, Sisi wanawake tunahitaji tension ya hali ya juu kwenye hilo tendo lakini cha ajabu wanaume wanafanya hili jambo kimazoea. Hili ni kosa kubwa sana. Wanawake wanabaki kupretend tu kama wameridhika.
Oraaaita.....kwa mara nyingine tena tunakuletea kutu hiki hapaa...kutoka Heriel production oraiiiitaaa
mkeo hana shida we ndo una matatizo,mrudie mkeoDuh aisee hii ndo maana halisi tutafika jehanam tumechoka kinyama....
Mimi Nilikuwa mlevi mzur nikilewa Sana pombe Kali Basi fujo lake Lazima ningombane na wife Kuna siku nimelewa nikamwita mjini tukanunua nyama tukachukua bodaboda moja kurudi home..tulipofika home me bado Nina arosto na konyagi nikamwambia wife we nenda kaandae mboga me narudi town Mara moja...alichonijib Sasa eti "wanaume wengine mnazurura Kama mnafirwa iliniuma Sana yaani mbele ya bodaboda nilichofanya nikamwacha nikaenda town kuongeza vitu jioni nilimpiga mpk akakoma ikabidi mwenyekiti was mtaa apewe taarifa kwamba naua Huku...
Ikashauriwa tuachane kwa muda...baadae wife anapiga Simu kwamba arudi me nishamuacha sina Tena hisia naye kwa lile tusi...nikimkumbusha lile tusi ye anasema mbona na Mimi Nilikuwa namtukana.ina maana ye hajuagi kutofautisha nikiwa sijalewa na nikiwa maji..huduma zote Nilikuwa nampatia Sasa nataka nijaribu MWanamke mfanyakazi aliyesoma Huku na Mimi nimekata pombe sinywi Tena toka litokee Hilo tukio Nina mwezi ili sasa nione na wao inakuaje niishi naye hata miezi mitatu nitawapa update.
mmh,huu ni waraka wa mtume paulo kwa watesatholonike haki ya Mungu
Duh29. Wanawake ni wajeuri Kwa wanaume wasiowafikisha au kuwaridhisha kimapenzi. Hakuna mwanamke jeuri Kwa mwanaume anayemkojoza.
Noma sana!!!
Wanawake Wana mapungufu 350 kama huna akili achana na mambo ya kuoa utaishia jela au kaburini.
Kutaka kumridhisha mwanamke ni SAwa na kutaka kuyathibiti mawimbi ya bahariMbbali na hapo, ni kwamba mwanaume huwezi kuhandle hayo yote muda wote na miaka yote, fanya unachoweza tu na kilicho ndani ya uwezo wako asipoeleweka au kuridhika na wewe pita kishoto.
Sasa tuwasaidiaje wakati nyie wenyewe mpaka tunawapata tayari mmeshatukata stimu kilichobakia ni kiwakojolea na kisepa tuu.Hii point itabaki kuwa Siri ya mwanamke kama unamridhisha ama not, maana wewe unajuaje kama unamridhisha, ni ngumu sana wewe kujua, Sisi wanawake tunahitaji tension ya hali ya juu kwenye hilo tendo lakini cha ajabu wanaume wanafanya hili jambo kimazoea. Hili ni kosa kubwa sana. Wanawake wanabaki kupretend tu kama wameridhika.
Achaneni nao muendelee na maisha yenu bila ya wanawake tuone mutafika wapi?Wanawake Wana mapungufu 350 kama huna akili achana na mambo ya kuoa utaishia jela au kaburini.
Umejitahidi sana ila wanawake ni zaidi apo endelea kuchimba ila siku ukiwaelewa vizuri jiandalie kaburi andaa na pesa za kuendesha msiba kabisa awa viumbe sio wa kawaida.
Tuliambiwa tuishi nao kwa akili ila hzi akili tulizopewa bdo hazitoshi kuwaelewa [emoji3][emoji3]View attachment 2307841
Wengne ni mashoga mkuuAchaneni nao muendelee na maisha yenu bila ya wanawake tuone mutafika wapi?
Wanawake mbona wanaeleweka mkuu ukitumia uliyoyaandika apo for 100%Huwezi ishi Kwa akili na kiumbe usiyemuelewa