appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
1.suma lee
licha ya kutingisha jiji kwa song lake la hakunaga bado njemba hii inanyuti kwa baba yake maeneo ya kariakoo
2..barbana boy
licha ya kuwa na kiki mjini lakini kidume hiki kilizalia nyumbani na mtoto alilelewa na bibi mzazi mwenzake alikua shilole
4.jux huyu pia anatumia zaidi mpunga wa mama kufanyia promo ya nyimbo zake still njemba inaminya home japo yupo china ila akirudi movie linaendea kwa mama jux
5.dulayooo
nyumbani ni majumba sita na hakuna mipango ya kutoka hapo born home die home
6.gosbee
mama kwa huyu jank ndio kila kitu anaitwa agripina
7chidy benz chumaa
ni ilala pale maflat ghorofa ya juu kabisa
ongezea mwingine
licha ya kutingisha jiji kwa song lake la hakunaga bado njemba hii inanyuti kwa baba yake maeneo ya kariakoo
2..barbana boy
licha ya kuwa na kiki mjini lakini kidume hiki kilizalia nyumbani na mtoto alilelewa na bibi mzazi mwenzake alikua shilole
4.jux huyu pia anatumia zaidi mpunga wa mama kufanyia promo ya nyimbo zake still njemba inaminya home japo yupo china ila akirudi movie linaendea kwa mama jux
5.dulayooo
nyumbani ni majumba sita na hakuna mipango ya kutoka hapo born home die home
6.gosbee
mama kwa huyu jank ndio kila kitu anaitwa agripina
7chidy benz chumaa
ni ilala pale maflat ghorofa ya juu kabisa
ongezea mwingine