hawa ndio wasanii wa bongo flava wanaoishi kwa wazazi wao mpaka sasa

hawa ndio wasanii wa bongo flava wanaoishi kwa wazazi wao mpaka sasa

Na je kama we ndie mtoto wa mwisho pia inatakiwa uondoke kwenu. Home is the place to be.
 
kama unabisha hii thread yangu google usibishane na mimi
 
baadhi ya watanzania kama ww wana akili fupi sana due to lack of exposure

kuna kosa gani kuishi wka wazazi wako?? si wazazi wake?? waliomleta hapa duniani? kama wako comfortbale na nyumba kubwa na yeye karidhika, why bother??

tutajenga mpaka wapi?? at the top of kilimanjaro??

ukienda nchi za dunia ya kwanza ni aghalabu kwa kijana kuwaza kujenga nyumba , kama haishi ya wazazi wake basi ya serikali, na wanaishi vizuri wanatanua....

sio nyie mnawaza kujenga na kuzeeka mapema kwa stress za kujenga nyumba

get life, mind your own bizs
 
baadhi ya watanzania kama ww wana akili fupi sana due to lack of exposure

kuna kosa gani kuishi wka wazazi wako?? si wazazi wake?? waliomleta hapa duniani? kama wako comfortbale na nyumba kubwa na yeye karidhika, why bother??

tutajenga mpaka wapi?? at the top of kilimanjaro??

ukienda nchi za dunia ya kwanza ni aghalabu kwa kijana kuwaza kujenga nyumba , kama haishi ya wazazi wake basi ya serikali, na wanaishi vizuri wanatanua....

sio nyie mnawaza kujenga na kuzeeka mapema kwa stress za kujenga nyumba

get life, mind your own bizs

kafunue hotpot mama kashakupikia tayari....
 
Watu wenye Umri wa kuanzia miaka 25 na kuendelea kama bado unakaa kwenu umelishwa limbwata au ulidoea lile lililotiwa na mm, Mtu mzima bado unaishi maisha ya kutungua uku unamboji Home. Asubuhi mizinga mingi kwa mama mpaka anakuchukia, wazazi nao wanataka nafasi, wamechoka kuchafuliwa sebure zao baada ya kulewa na kurudi na marafikizao wengine. Tokeni kwenu mpate uchungu wa kujenga
 
Hiz habari muwe mnawaachia warumi jamanii ndio nasikiaaa leo barnaba na Shilole wamezaa lol
 
Last edited by a moderator:
barnaba na shilole hawajazaa pamoja

Barnaba na Shilole mbona waliachana kipindi tu kabla hata Barnaba hajapata Mtoto, ndiyo Shilole akatoa wimbo wa kumponda Barnaba ambao hauku hit, Barnaba nae ndiyo ndiyo akatoa Magubegube.
 
Nyie mnaotetea kukaa nyumbani embu jikumbusheni kuutafuta wimbo wa bado yuko vilevile wa wateule ulioimbwa na Mchizi mox, Jay Mo na Solothang mkisikia zile lyrics mtajua tabia za watu wanaokaa makwao hadi leo...
 
Back
Top Bottom