Hawa ndio Wasanii walioongozana na Rais ziarani Korea, Je Mnawafahamu na Wameenda kufanya nini?

Hawa ndio Wasanii walioongozana na Rais ziarani Korea, Je Mnawafahamu na Wameenda kufanya nini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kingine ni hiki, vilitumika vigezo gani kuwapata? na inawezekanaje baada ya muda mfupi tu tangu Rais kutamka Kuongozana na Wasanii kwenye Ziara zake na mambo yameanza hapo hapo?

Je tukisema kwamba jambo hili lilikuwepo kabla ya kusemwa tutakuwa tunakosea?

Ifahamike kwamba hatuna uwezo wa kumpangia Rais watu wa kusafiri nao, maana Urais ni wake mwenyewe na watu wake, lakini kwanini tudanganywe, hii ni kwa faida ya nani?

Pia soma
- Zengwe lagubika ziara ya Rais na wasanii; waratibu wadaiwa kufanya mchezo mchafu

Screenshot_2024-06-01-13-44-06-2.png
 
Ni kweli mpango ulikuwepo na ulishaanza kutekelezwa kabla hata ya Rais kutangaza hivyo (kushiriki na wasanii ziarani Korea na baadaye nchini Marekani)

Mmojawapo pichani ni muhusika katika taarifa niliyoileta hapa jukwaani.

 
Ni kweli mpango ulikuwepo na ulishaanza kutekelezwa kabla hata ya Rais kutangaza hivyo (kushiriki na wasanii ziarani Korea na baadaye nchini Marekani)

Mmojawapo pichani ni muhusika katika taarifa niliyoileta hapa jukwaani.

Unamaanisha HUYO Manzi alievaa pink NDIO demu aliepenyezwa na danga lake?
 
Kingine ni hiki, vilitumika vigezo gani kuwapata? na inawezekanaje baada ya muda mfupi tu tangu Rais kutamka Kuongozana na Wasanii kwenye Ziara zake na mambo yameanza hapo hapo?

Je tukisema kwamba jambo hili lilikuwepo kabla ya kusemwa tutakuwa tunakosea?

Ifahamike kwamba hatuna uwezo wa kumpangia Rais watu wa kusafiri nao, maana Urais ni wake mwenyewe na watu wake, lakini kwanini tudanganywe, hii ni kwa faida ya nani?

Pia soma
- Zengwe lagubika ziara ya Rais na wasanii; waratibu wadaiwa kufanya mchezo mchafu

View attachment 3005691
Nchi inaliwa na hadi na watu wa hovyo hovyo wakati huku tunalia na barabara mbovu
 
Ni kweli mpango ulikuwepo na ulishaanza kutekelezwa kabla hata ya Rais kutangaza hivyo (kushiriki na wasanii ziarani Korea na baadaye nchini Marekani)

Mmojawapo pichani ni muhusika katika taarifa niliyoileta hapa jukwaani.

Kaenda na lulu, nasikia pia lulu ana naniliu......au basi mwanasheria wangu yupo maternity
 
Back
Top Bottom