Hawa ndio wasanii watano Africa wenye kipato kikubwa

Mkuu umekosea San kukoment kwenye hii mada ungekomenti mwishonimwishon uko kaka.....umewapa watu kitu cha kuongea
 
Ameingiza mkwanja mrefu tu..japo kulikuwa na fitina za boss wa upinzani
Unajua iyo show alilipwa hela sawa na aliyolipwa Vanessa mzee 2m ksh.....au ndo zen hampendi show off
 
Unajua iyo show alilipwa hela sawa na aliyolipwa Vanessa mzee 2m ksh.....au ndo zen hampendi show off
Diamond akijitahidi kufanya kazi nzuri zaidi na juhudi huenda mwakani akachukua namba 1 kwa Africa nzima.
 
Diamond akijitahidi kufanya kazi nzuri zaidi na juhudi huenda mwakani akachukua namba 1 kwa Africa nzima.
Yeah ndo anakoelekea lazima achukue namba moja yaani hainaga kufeli
 
Nyie watu wa mikoani mna tabu mno ila sisi tulio mjini tunajionea wenyewe.Huwezi kumdanganya mtu wa mjini na akakubali kuwa Dimond ana Bilioni 4 kwenye account yake.

Dimond kila siku analia kutaka kumiliki Royce Rolls na hizo bei zake zilivyo kana angekuwa na kipato cha hivyo na alivyokuwa mpenda sifa angezinunua hata 2 kwa mpigo ili awarushe roho wabaya wake ila leo hii gari ya thamani anayomiliki ni BMW x6 tena tena used aliyopewa zawadi na uongozi wake.

we toka unamjua Dimond ushawahi kusikia hana Hisa japo kwenye kampuni ya Kutengeneza Ndala?!
Sasa utakubali mtu mwenye mabilioni asiwekeze hela yake kwenye makampuni ikazunguka yaani ikae tu bank kwani kimekuwa kichwa kile kila anapokwenda awe nacho?!

List yako ya kiboya na ya uongo mtupu wapi Casper vyovest hapo,Wapi Don Jazzy wapi D Banj wapi Mr.Flavour wapi A.k.A wapi Fally Ipupa wapi Koffi Olomide?!

Umekurupa siku nyingine ukidanganywa huko fikiria kwanza kabla ujataka kudanganya na wengine.

Yote yote asante kwa taarifa nenda Madale kachukue buku 7 yako.
 
Kweli pata pesa tujue tabia yako. Yan diamond anaingia mara 30 kwa pesa ya psquare. !!!!!!!!! Ila kwa mbwebwe anawazidi mara 100
Unawezaje kuwafahamisha PSquare na Diamond kwa kipato? PSquare wameanza 1999, Diamond kaanza 2009, sasa how possible wakawa na kipato sawa. Halafu mbwembwe za Diamond ndizo zinazompa pesa, angekuwa hana mbwembwe asingekuwa msanii ghali Tanzania na East Afrika.
 
mondi na masanja nani anamula ndefu kumshinda mwenzie
Kwa sie tulio mjini hapa tunaona kabisa kuwa Masanja ana pesa ndefu kuliko Dimond ila hawa majamaa wa mikoani wanaona kuwa Dimond ana pesa kuliko Masanja tusiwalaumu kwa sababu wenyewe wanaamini ukiwa maarufu zaidi basi lazima utakuwa na pesa zaidi.
 
mondi na masanja nani anamula ndefu kumshinda mwenzie
Kwa sie tulio mjini hapa tunaona kabisa kuwa Masanja ana pesa ndefu kuliko Dimond ila hawa majamaa wa mikoani wanaona kuwa Dimond ana pesa kuliko Masanja tusiwalaumu kwa sababu wenyewe wanaamini ukiwa maarufu zaidi basi lazima utakuwa na pesa zaidi.
 
Povu linavokutoka sasa hahahhaaaa mm nacheka tu
 
itakuwa ni timu WCB hao wamezudisha mahaba kwa simba mbarara
Kwa sie tulio mjini hapa tunaona kabisa kuwa Masanja ana pesa ndefu kuliko Dimond ila hawa majamaa wa mikoani wanaona kuwa Dimond ana pesa kuliko Masanja tusiwalaumu kwa sababu wenyewe wanaamini ukiwa maarufu zaidi basi lazima utakuwa na pesa zaidi.
 
Kwa hiyo kiwango cha mwisho cha wasanii 5 bora wenye pesa afrika kinaanza na bil 9 za diamond then anafuata wizkid bil 24?...kutoka 24 had 9 sitaki kuamininkama hapo katikati hakuna namba nyingine ningependa kujua kuhusu fakky ipupa na d banji nataka nijue Leo kama diamond kawazid kioato ili nichekeeee...or niweke sawa hizi takwimu ni zako binafsi or umefetch somewhere?..Kofi olomide?..aaaah broooooooh
 
Leo hii diamond kamzidi d banj, Kofi, etc hapana lazima Luna ujanja ujanja kwenye hii list sio bure
 
List halisi na ya ukweli ni hii
1.YOUSSOU NDOUR-SENEGAL
2.P-SQUARE-NIGERIA
3.D BANJ-NIGERIA
4.KOFFI OLOMIDE-CONGO
5.SEIF KEITA-MALI
6.FALLY IPUPA-CONGO
7.2 FACE IDIBIA-NIGERIA
8.HUGH MASEKELA
9.BANK W-NIGERIA
10.JOSE CHAMELEON-UGANDA.
 
Usirudie kupost utumbo bila koffi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…