brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
ya mwaka huuhii picha ya mwaka gan??
Mtoto ni kama sponge hunyonya maji machafu na masafi! Kibaya ni kwamba maji masafi hayana harufu lakini machafu yana harufu kali hasa yakiozaKweli kabisa mkuu matatizo matupu,we vuta picha watoto wataiga nn kwa shishi kwa mwendo huu, kama mavazi yenyewe ndio hayo pamoja na skendo zisizokwisha kila kukicha
Shishi hana miaka 19, miaka yake inacheza 28 mpaka 30haiwerzekani bana,shishi si ana miaka 19 bado kinda kabisa
Yaah mshana jr ana maneno ya busara sanaMkuu asante sana nimetambua tena kwa mara nyingine hauko humu ndani kwa bahati mbaya,nimejifunza kitu kikubwa sana mkuu.
Yaaah amejitahidi sana maana analea watoto peke yake pasi na kushikwa mkono na mzazi mwenzakeNampongeza huyu Dada kwa kuwalea watoto hadi wamekua hivi. Kazi afanyayo ni kazi halali. Usanii maana yake pana hata uigizaji. Tabia halisi ya mtu anaijua MTU mwenyewe. Namtakia mema aendelee kuwakuza watoto na kuwapa haki ya Elimu na malezi bora kwa faida yao ya baadae.