๐๐๐๐Ngoja nikale kwanza maan.Hiki ndio huwa kinawatokea watu wengi kwenye love connect sema hawataki kusema ukweli [emoji1427]
Tunaomba shuhuda zenu Tafadhali [emoji1427][emoji848]View attachment 2456684
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
Eti kibabe[emoji23][emoji23][emoji23]Ha
Kuna cha love connected hapo Huyo dogo katekwa kibabe hahahaaaa
Tuanzie hapo kweli [emoji848]Hizo mbaya zinakuwaje[emoji849]
Shiba urudi utupatie experience[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikale kwanza maan.
Aje tu aseme me nijijue nipo wapiTuanzie hapo kweli [emoji848]
Haan Amna kituHizo mbaya zinakuwaje[emoji849]
๐๐๐Huyo dada sio mm kweli nilikimbiwa๐Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
Aje na uchambuzi wa kinaAje tu aseme me nijijue nipo wapi
HaswaaAje na uchambuzi wa kina
Nimtag kabisa kabisa au mana naogopa nisije maliza mwaka vbyShiba urudi utupatie experience
Mtag ajue kuwa connect ilifeli kwasababu ya ......Nimtag kabisa kabisa au mana naogopa nisije maliza mwaka vby
๐๐๐๐Ila jamaniMtag ajue kuwa connect ilifeli kwasababu ya ......
Watu wanafanikiwa bt kumpata yule uliyemu-imagine kichwani mwako[emoji22] ndio tatizo.Mimi natongozaga ninao waona. Siwezi tongoza nisie mjua kwa kumuona
Pasua bomu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila jamani
๐๐๐ Aiseh aiseh ww wanitafutia balaaPasua bomu[emoji23][emoji23]
Huoni alivyonywea ๐๐Eti kibabe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,