😂😂Hili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!
Hujafa hujaumbikaHili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!
Kweli kabisa. BTW ubonge siyo kasoro, ila huyo msichana alikuwa anatafuta mtu wa aina tofauti na alikuwa amejenga picha fulani kichwani kwake tofauti na aliyemwona.Hujafa hujaumbika
Tatizo linakuja hapo kwenye kujenga picha Yako kichwaniKweli kabisa. BTW ubonge siyo kasoro, ila huyo msichana alikuwa anatafuta mtu wa aina tofauti na alikuwa amejenga picha fulani kichwani kwake tofauti na aliyemwona.
Mahusiano ya kuanzia kwenye chart room za social media siyo kabisa. Ni wengi walikuwa wanachati kwa mahaba na waliodhania kuwa ni wenza watarajiwa lakini siku ya kukutana uso kwa uso mmoja akatoka baru. Pamoja na kuwa siku hizi kuna video calls na ku-share picha lakini nilichogundua kuna watu (hasa wanawake) wataalam kweli kweli kwenye kupiga picha waonekane ni warembo kuliko walivyo. Halafu wanajua sana kuficha sehemu ambazo wanaona hazivutii na kuonyesha sehemu zenye mvuto. Au ku-edit picha.Tatizo linakuja hapo kwenye kujenga picha Yako kichwani
Ndio bro, mwanamke anaweza kupiga picha ya snap ikipostiwa tu unapagawa, sasa kimbe mbe ukionana nae aiseeMahusiano ya kuanzia kwenye chart room za social media siyo kabisa. Ni wengi walikuwa wanachati kwa mahaba na waliodhania kuwa ni wenza watarajiwa lakini siku ya kukutana uso kwa uso mmoja akatoka baru. Pamoja na kuwa siku hizi kuna video calls na ku-share picha lakini nilichogundua kuna watu (hasa wanawake) wataalam kweli kweli kwenye kupiga picha waonekane ni warembo kuliko walivyo. Halafu wanajua sana kuficha sehemu ambazo wanaona hazivutii na kuonyesha sehemu zenye mvuto. Au ku-edit picha.
Duuh! Kwa Mimi hapo hapo atanigunduaUsimkimbie ghafla,kutana nae vunga...pangeni muonane siku nyingine...then ndo imetoka hiyo
Hahahahaaaaa,ilikuwa Arusha mwaka 2011😂😂😂Huyo dada sio mm kweli nilikimbiwa😂
[emoji23]Hahahahaaaaa,ilikuwa Arusha mwaka 2011
Kwenye picha uyo wakiume kama sio mzabzab Basi atakua ni Behaviourist
Maana hao ndo watu maarufu humu MMU kwa kupenda sana chura[emoji4]
Love connect baba, umeenda bila timing Mzee, mama kagundua unataka usepe akaona hii haikubaliki.Huyu jamaa katekwa sio mapenzi yake, ndio maana unaona kwenye picha kuna mwamnba mwingine amekaa akicheki usalama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo dada sio mm kweli nilikimbiwa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman khaaaaahKuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanafanikiwa bt kumpata yule uliyemu-imagine kichwani mwako[emoji22] ndio tatizo.
Shida ya love connect unanza kujenga lipicha lako kichwani the way unavyo wasiliana na huyo soul mate wako, sasa[emoji23] siku ya kuonana Ooh! My God![emoji23][emoji23] Unakutana na mtu unaona huyu ulimuona kwenye movie ya wrong turn kama sio the walking dead
Cheeh....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiiiihHili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!
Hii ndyoo nzuri, kuliko kukimbia ni kuonesha dharau, hujafa hujaumbika kweli.Usimkimbie ghafla,kutana nae vunga...pangeni muonane siku nyingine...then ndo imetoka hiyo