Hawa ndiyo akina mama wa Kitanzania

Hawa ndiyo akina mama wa Kitanzania

Gama

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
13,265
Reaction score
4,735
Nami ngoja nilete bandiko langu kuhusu hawa akina mama zetu wa Kitanzania, hasa, ni kuhusu suala la mikado. Akina mama hawa wanaweza weka rehani nyumba ya familia wakakopa mafweza na pande kubwa ya fweza ikapelekwa kwao na wakati huohuo, huko kwao hutumia pande hilo kujisherehesha, na, hawachangii kurejesha deni.

Hapo ndipo wababa wengi hushangazwa na hata nyumba kutwaliwa. Hawa wamama hawa, huchukua majina hata kumi kwenye VICOBA, Martlesham ni panga kwenye share ya chakula walioachiwa watoto.

NIONGEZE SAUTI, AU INATOSHA??
 
Vikoba ndo mvunja ndoa nyingi kwa sasa,wakopaji wanawake walipaji,waumiaji ni wanaume
 
Vikoba ndo mvunja ndoa nyingi kwa sasa,wakopaji wanawake walipaji,waumiaji ni wanaume
Na pia imefanya wanawake wengi walioelewa na wasioolewa kuwa malaya wanaotafuta pesa ya marejesho ya vicoba
 
Back
Top Bottom