Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 14,938 Reaction score 25,405 Feb 3, 2024 #21 NALIA NGWENA said: TATIZO MNAONGELEA USHABIKI. Click to expand... Huo ndio uhalisia. Angalia goli walilofunga Nigeria likakataliwa ni sawa na walilofungwa Yanga tofauti tu sisi Camera ya Azam haikukaa usawa wa mchezaji wa mwisho. Sijui nyie mna macho gani
NALIA NGWENA said: TATIZO MNAONGELEA USHABIKI. Click to expand... Huo ndio uhalisia. Angalia goli walilofunga Nigeria likakataliwa ni sawa na walilofungwa Yanga tofauti tu sisi Camera ya Azam haikukaa usawa wa mchezaji wa mwisho. Sijui nyie mna macho gani