Ona hii jamaa yetu makolo! Haifahamu hata kanuni ndogo tu za haya mashindano. Magoli yanaanza kuhesabiwa kuanzia hatua ya makundi wewe.Huyu si alifunga hattrick mbili na dhidi ya Zalan ya somalia????imekuwaje tena?????ana goli 11 huyo bna
Asiyejua maana usimpe aise.Ona hii jamaa yetu makolo! Haifahamu hata kanuni ndogo tu za haya mashindano. Magoli yanaanza kuhesabiwa kuanzia hatua ya makundi wewe.
HAMNA KLABU INAYOITWA MALUMO GALLANTS JINGA WW(1) Fistoni kalala mayele
(1) Fistoni kalala mayele
Anachezea club ya Young African sc iliyopo nchi ya Tanzania, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)
(2)Ranga chivaviro
Anachezea club ya Malumo gallants ya south africa, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)
(3)Paul acquah
Anachezea timu ya Rivers United iliyopo Nigeria, mpaka Sasa ana jumla ya magoli manne (4)
View attachment 2598784
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anachezea club ya Young African sc iliyopo nchi ya Tanzania, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)
(2)Ranga chivaviro
Anachezea club ya Malumo gallants ya south africa, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)
(3)Paul acquah
Anachezea timu ya Rivers United iliyopo Nigeria, mpaka Sasa ana jumla ya magoli manne (4)
View attachment 2598784
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Malumo gallants
Sio firigisi wewe, ni figisu. Firigisi ni kitu kingine kabisaa😂😂... Walimletea firigisi kwenye tuzo...
....nimeshalisemea hili, narudia tena mkuu.. Kulwa na Dotto wote ni Pacha.!Sio firigisi wewe, ni figisu. Firigisi ni kitu kingine kabisaa😂😂
Asante kwa kunisahihisha nimeikumbuka inaitwa WYDAD[emoji41]HAMNA KLABU INAYOITWA MALUMO GALLANTS JINGA WW
Wazaramo ndio maana hatuwapi kazi kwenye mediaAsante kwa kunisahihisha nimeikumbuka inaitwa WYDAD[emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sizitaki mbivu hizi [emoji23]hilo kombe simba tumesha achana nalo sikunyingi sana nila vibwego