Hawa ndiyo vinara wa upachikaji wa mabao kombe la shirikisho Africa

Hawa ndiyo vinara wa upachikaji wa mabao kombe la shirikisho Africa

Huyu si alifunga hattrick mbili na dhidi ya Zalan ya somalia????imekuwaje tena?????ana goli 11 huyo bna
Ona hii jamaa yetu makolo! Haifahamu hata kanuni ndogo tu za haya mashindano. Magoli yanaanza kuhesabiwa kuanzia hatua ya makundi wewe.
 
(1) Fistoni kalala mayele
(1) Fistoni kalala mayele
Anachezea club ya Young African sc iliyopo nchi ya Tanzania, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)

(2)Ranga chivaviro
Anachezea club ya Malumo gallants ya south africa, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)

(3)Paul acquah
Anachezea timu ya Rivers United iliyopo Nigeria, mpaka Sasa ana jumla ya magoli manne (4)

View attachment 2598784

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Anachezea club ya Young African sc iliyopo nchi ya Tanzania, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)

(2)Ranga chivaviro
Anachezea club ya Malumo gallants ya south africa, mpaka Sasa amefunga jumla magoli matano (5)

(3)Paul acquah
Anachezea timu ya Rivers United iliyopo Nigeria, mpaka Sasa ana jumla ya magoli manne (4)

View attachment 2598784

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
HAMNA KLABU INAYOITWA MALUMO GALLANTS JINGA WW
Malumo gallants
 
Back
Top Bottom