Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Nimejikuta naanza kumshabikia huyu jamaa,atachukua ufungaji bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaahhaaaaHiyo ni kombe la luzaz unakataa nini? Si tulianza wote champions league imekuwaje mko huko au umesahau mara moja hii?
Haujafanya makosaNimejikuta naanza kumshabikia huyu jamaa,atachukua ufungaji bora
Kila la heri kwakeNimejikuta naanza kumshabikia huyu jamaa,atachukua ufungaji bora
Hapana Jean baleke ndiyo ana goli 11Huyu si alifunga hattrick mbili na dhidi ya Zalan ya somalia????imekuwaje tena?????ana goli 11 huyo bna
Kwenye luzaz cup?
Sio firigisi, ni FIGISU... kweli Mungu ni wa wote. Walimletea firigisi kwenye tuzo ya kibongo bongo sasa anaelekea kuchukua tuzo ya ya Shirikisho Afrika nzima.
Ndo kombe hili mlilowasha moto na kupigwa fainiKumbe Kombe la vibonde !!!!!
....Kulwa na Doto wote ni pacha.!Sio firigisi, ni FIGISU
Mmhh....Kulwa na Doto wote ni pacha.!
Unafikiri ni maandazi unatafuna tu bila utaratibuWakishangaa anabeba nbcpl na huko caf
Unaongea kwa maumivu makali sanaHuyu si alifunga hattrick mbili na dhidi ya Zalan ya somalia????imekuwaje tena?????ana goli 11 huyo bna
Wakikusikia watakupiga maweYANGA ANABEBA NDOO YA CAF LOSERS CUP MWAKA HUU, NDOO YA NBC NA YA ASFC. NGADA FC MTAISHIA KUBEBE KOMBE LENU LA ROBO FAINALI CAF CL
Habari mbaya sana hizo kwao.Fiston Kalala Mayele mmoja, ni sawa na akina Kibu Denis 10! Alifunga kagoli kamoja, dhidi ya Yanga! Siyo kushangilia huko!
Yaani utafikiri ndiyo timu yake imefuzu sasa hatua ya nusu fainali kule Morocco dhidi ya Wydad Casablanca!
Pamoja na kuroga, hawajawahi fika hata nusu fainali, achia mbali kuchukua kombe..!!