Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
[emoji12][emoji38][emoji2957][emoji38][emoji12][emoji12] Bonyeza #10. Fiston Mayele - Pyramid £20,000 per month
Hizo TSh 62,500,000. Hakuna mchezaji Tanzania anayelipwa hivyo.10. Fiston Mayele - Pyramid £20,000 per month
Huo ni mshahara kwa Wiki, sasa sijui ni kwa wiki zote 52 au ni wiki zile za michezo tu; hata hivyo ni hela nyingi sana. Acha wafaidi vipaji vyao.These guys are millionaires aisee, wakirudi kuwa bankrupt ni aibu kwao. They must invest in Africa heavily and in Europe too.
Hivi Pie ni ngapi siku hizi??Dah, kwa nini nilikomaa na Kipeuo cha pili?!!
Wapo wengi tuHizo TSh 62,500,000. Hakuna mchezaji Tanzania anayelipwa hivyo.
Wapo wengi tu
WatajeIla Nicolas Pepe Ni miyeyusho Sana
Umenikumbusha mimi na zile "double integral"Dah, kwa nini nilikomaa na Kipeuo cha pili?!!
1. Samata....Wataje
Nilimaanisha kwenye ligi ya Tanzania, sikusema wachezaji watanzania.1. Samata....
Hao ni wàarabuNilimaanisha kwenye ligi ya Tanzania, sikusema wachezaji watanzania.
Shimo la panya linazibwa kwa cheese.
Ah sasa kwani mzee wa kutetema huo mshahara analipwa hapa kwa Samia?Nilimaanisha kwenye ligi ya Tanzania, sikusema wachezaji watanzania.
Shimo la panya linazibwa kwa cheese.
Bado ile ile ndugu yangu 22/7.Hivi Pie ni ngapi siku hizi??