Hawa ndiyo Waafrika wanaolipwa pesa ndefu kwenye Mpira wa miguu

Hawa ndiyo Waafrika wanaolipwa pesa ndefu kwenye Mpira wa miguu

Ah sasa kwani mzee wa kutetema huo mshahara analipwa hapa kwa Samia?

Hapa kwa Mwigulu nadhani anayelipwa mzigo mkubwa kuliko wote ni Azizi Ki... wambea wanasema analamba 21m kwa mwezi.
no ahmada wa azam 50m per month
 
Back
Top Bottom