Hungary wamejtoa kwenye ujamaa sikuhizi wana jina lingineMke wa professor sarungi ni mu Hungary, siyo mrusi
Shida ni mwafrika across na msukumaMzungu aki cross na mwafrika watoto wanapatikana wazuri sana, shida ni mwafrika across na ....[malizia]
Mkuu ulipotelea wapi maana hii id sijaiona humu mda mrefu sana.Dr. Minja pale rufaa Hosp mbeya naye alioa mzungu, yule mama akawa kama mchaga hadi samadi anafagia
Salawi ndio wap huko?Dr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Niko nangojea uteuzi wakuu wa wilayaMkuu ulipotelea wapi maana hii id sijaiona humu mda mrefu sana.
Ulaya Mashariki hadi kesho kuna njaa....wamejaa kibao Ulaya magharibi wanatafuta maisha.Kaka hii ni miaka ya nyuma, sikuizi huko mashariki nao wapo vizuri.
Hao wa magharibi ndio wanaenda huko mashariki kutafuta maisha sikuizi, uliza waliopo huko mashariki sasa hivi wakuambie.Ulaya Mashariki hadi kesho kuna njaa....wamejaa kibao Ulaya magharibi wanatafuta maisha.
Naona napoteza muda wangu hapa.Hao wa magharibi ndio wanaenda huko mashariki kutafuta maisha sikuizi, uliza waliopo huko mashariki sasa hivi wakuambie.
Kumbe unamjua.Maggid ndo nani mkuu na ana wadhifa gani? au umemaanisha Maggid Mjengwa?
Sawabahati mbaya nafungua jf kwa freebasics (mb zipo 0) ila anapatikana Google Image mkuu.
Ndio mkuuLinex?
Shinyanga huko mkuu bila shaka..nadhani ni SalaweSalawi ndio wap huko?